ndug wanajamii forum nahitaj msaada wa mawazo.
Nilinunua laptop aina ya Toshiba tar31.1.2014 na nikapewa Warranty ya 1 year Arusha mjini.
Ghafla imekufa spika na mimi kwa sasa nipo Moshi sasa...
Microsoft imeacha rasmi kusapoti Windows XP.
Support for the venerable Windows XP operating system ends this Tuesday.
It means that there will be no more official security updates and bug...
Habari zenu wana jf
ni wapi naweza kufanya large format printing kwa ajili ya mabango nk na kuprint id na business card ktk pvc printing bila kusahau t-shirts kwa mfumo wa heat transfer
habar wana jf....juzi 2 niliibiwa simu yangu aina ya nexus5...cku install anti theft app yoyote..ila nikaambiwa unaweza uka2mia IMEI namba ya simu kumkamata mwizi wako na kuna wa2 wanafanya hizo...
Hili tatizo nimelipata Leo.. nimejaribu ku-google Solution Mbalimbali naona haziendani sana
Ila nikiangalia kwenye Accessibility nikienda mpaka kwenye Service nimekuta hii kitu. NO SERVICE...
jaman naombeni msaada wenu hii sim yngu imeharibika power button(p.button ipo kwa juu) sasa inanisumbua kwel kuiwasha kwhyo kwa anayejua alternative way yake rabda kama kuna code maalum za...
Nimepata kusikia hizi battery ambazo hazitiwi maji zikizeeka au kushindwa kufanya kazi katika gari inawezekana kuzi restore,kuzipa uwezo wa kufanya kazi tena.Huwa zinafunguliwa kwa juu na...
Wadau ni kwamba UD hawana wataalamu wa IT hadi wanatumia email za gmail na yahoo??
Nilishawai kuwatumia office email wakanijibu kwa Gmail nilishangaa sana.
Wana IT Fursa hiyo Email Server yao...
Channel mpya ambazo ni Free To Air zimeingia kwenye Satellite ya SES 5 ambayo zuku inatumia, channel hizo ni
Africa TV swahili
peace TV
Go to MENU-->DVBS -->SINGLE SATELLITE SEARCH,
then subir...
Wakuu nimekwama hapo kwenye installation ya hii kitu.Nilitaka ku-install hotspot clients kama mHotspot au Virtual Router Installer ili niweze kushare my PC's internet kwenda kwenye simu yangu but...
niliwai kuinstall IDM na muda ukaisha wa trial version. sasa inagoma kupata tena trial version tena et hadi ninunue. hata niki uninstall na kuweka upya inakataa. msaada wataalam, naitaka hiyo tu...
By Tero Kuittinen on Apr 7, 2014
Three pivotal slides from the epic Samsung-Apple litigation marathon have been picked up by 9to5Mac. The most fascinating among them, titled "Consumers want...
Wakuu wa kazi,salama?kuna Sumsung inanitoa ushamba.ni Galaxy Grand imeandikwa Duos,ajabu naona sehemu moja tu ya kuweka line.nipeni ufahamu wadau.Mashikolo mageni!!
Habari wana jf
Nina simu yangu ambayo haitumii laini sasa katika mtandao mpaka nitumie Wi-fi connection katika maeneo husika,sasa nataka niulize hakuna njia nyingine ambayo naweza tumia internet...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.