Kiukweli kwa siku za hivi karibuni nimekua nikisikia sikia hili swala masikioni mwangu kwa sana, sasa naombeni kuuliza mwenzenu kwani android ndio nini? mana naona hata washkaji wenzang wamenunua...
Wakuu naomba msaada kwa anaejua lipi huenda ni tatizo,maana application ya facebook kwenye s4 yangu inagoma kila nikiinstalll kutoka google play nashindwa kujiunga,baada ya ku login inaandika...
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha...
ipo fresh kwa anayehitaji anichek nakuletea ulipo kwa wakazi wa Dar. ni internal hdd inafaa kwa hata ku install windows.bei 60,000/= haipungui
0716-844978
kwa sasa niko tbt chang'ombe,pamoja na siasa za bongo lakini kazi na mengineyo yanaendelea,niko mkabala na magorofa ya VETA TABATA CHANG'OMBE NIMEFUNGUA INTERNET KARIBUNI SANA.
MD, ICTRONICS
Saalama wakuu. wanao jua system ya server ccam ambayo inafungua channel za kulipia....Nauza line za server ccam/gbox/newcamd..kwanza nakupa test for 24 hours ukipenda ndio unaweza...
Habari za majukumu wakubwa natatizo kwenye laptop yangu ya hp palivion 15-n001sx nilikua na update driver za bios kwa bahati mbaya laptop ikakata moto kabla haijamaliza kuinstall umeme ulipo...
Jana nimepokea simu yangu galaxy s4 i9500,tatizo kubwa tangu hiyo jana asubuhi nimecheza nayo hadi sasa nimechemka.sijafanikiwa kuunga intenet.nahitaji msaada wenu tafadhali
Haaaa haaaa haaaa! nianze kwanza kwa kicheko maana hawa jamaa huwa wana maswali sana pindi ikitokea wamelazimika kukikutumia kifaa hicho. ni muhimu sana kwetu kuyafahamu maswali hayo na kuwapatia...
hello jf
memory card yangu ikirushiwa nyimbo zinaingia lakini haziplay nimejaribu ku format kwa komputer napata ujumbe huu
windows was unable to complete format ....
Nifanyaeje? Kuna program...
ni miezi 18 sasa imepita toka windows phone 8 izinduliwe october 2012 na tangu hii os izinduliwe haikupata update kubwa zaidi ya update ndogo za GDR. leo microsoft kwenye BUILD 2014 wameizindua...
Nimefuatilia kwa muda mrefu juu ya upatinakanaji wa matangazo ya Aljazeera sport channels hapa Tanzania, lakini nimeshindwa kupata uhakika na ukweli wa namna gani naweza nunua card, na fundi wa...
wakuu hii kitu inawezekana kwa bongo?......kuna jamaa anahitaji kujua jinsi ya kufanya ili aweze kuunganishwa kwenye calls anazopigiwa mbaya wake....so help if possible
kama kichwa cha habari kinavyojieleza nilikuwa natumia Youwave kwa ajili ya Whatsaap katika laptop yangu
lakini sasa inagoma kufunguka, nimejaribu ku unisntall na kisha kuinstal tena bado...
Wakuu habari za jumamosi,
Nime install kaprogram kwa ajili ya analyisis ya data zangu lakini nikijaribu kuirun inaleta message hii hapa "HTTP Error 404.0 - Not FoundThe resource you are looking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.