Wadau nina mpango wa kununa hiyo Gari,nimejaribu kuifuatilia kwenye internet inakwenda 12km kwa lita1 na kwa upande wa engine ni VVTi sasa ningependa kujua ubora wa hii gari,utumiaji wake wa...
Naomba msaada kwa anayejua hili, kila nikiweka modem yangu kwenye pc imaniandikia "The sim card has not been detected or is invalid" lakin nikiangalia lini haina tatizo, je itakiwa modem imekufa...
Ki-roho safi, What is the name and type of antivirus that is protecting your system from virus and malware attack? I once used Avira but it was not effective enough. I also once tried Kaspersky...
Members nahitaji mtu mwenye simu double line nibadilishane nae na blackberry 8980 sababu nko na line mbili zote muhimu kuwa hewani tafadhali hyo simu iwe haijatumika zaidi ya miezi miwili yng...
kwa wale wenyeji wa mji wa kahama, ni fundi yupi ni mzuri katika maswala ya hardware?
laptop yangu haitoi sauti. ila nikiconnect headphone inatoa sauti.
au kwa yeyote Mwenye suluhisho la tatizo...
Wadau ni muda sasa natafuta izo chanel,kusema kweli nimekwama total,mwenye ujuzi nazo anisaidie tafadhari... Frqnce,simborate dish size,uelekeo na sat yake Kwani nataka nizitumie kwenye dish la...
Wataalamu wa jukwaa hili , naomba msaada wenu kuweza kurudisha fail ambalo nimeledelete katika recycle bin
Nahitaji fail hili lakini nimejikuta nimelidelete likiwa tayari lipo katika recylcle...
Wadau, eti ni kweli kuwa ubora wa earthroad unaweza kuwa na athari kwenye kiwango cha matumizi ya umeme? naona matumizi yangu ya umeme sio ya kawaida, naweza maliza units 5 kwa 24 hours. Ndio...
Habari
wadau nomba kujuzwa kama kuna mtu ana idea au anajua jinsi ya kuzui kama si kupunguza haya matangazo yanayokuwa yanakuwepo kwenye websites na sometimes yanaharibu muonekano wa website...
Za humu wadau
Kuna mdau kanambia Vodacom Tanzania(mtandao wenye kasi ya ajabu(HSPA+) hapa Tanzania kuzidi mitandao mingine kwa makao makuu ya nchi, Dar) Wameanzisha kifurushi ambacho unapata...
Nimejaribu kutengeneza collection ya hizi smilles ambazo pia unaweza kutumia hapa JF,Copy na Paste unapohitaji kuzitumia;Ukipenda collection yangu,usisahau kugonga like
mFAno;
TV and Movie...
Make content your # 1 focus
When it comes to blogging, there are plenty of important factors. Having a unique and professional design, a viable topic, a brandable logo, and clear options for...
Inatatizo la kijizima na kujiwasha ninapoitumia kwenye internate, haifungui phonebook wala sms, mtu akipiga haionyeshi action yoyote ila anasikia inaita. Naomba msaada tafadhali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.