Naona mammbo ya cloud storage yamewashinda hawa jamaa, wenye data huko chukueni tahadhari.
Today we are announcing plans to shut down the Ubuntu One file services. This is a tough decision...
Sijui wale wenzangu na mm mtakuwa mmepatwa na Ajari kama mm ila inshort naona kuna v6 nimeona nishare na nyie muendelee kula Utamu wa hivi
Kitu kimoja au mtu mmoja aliyeniBORE hapa JF ni mtu...
Wakuu habari zenu.Leo nimeleta tena jambo ambalo nina tatizo katika kujua upi ni ukweli katika hili ETI KUNA MADHARA YOYOYE YANAYOWEZA KUJITOKEZA KWA UPANDE WA BATTERY? HASA KIUBORA ENDAPO UTAKUWA...
hii inatokana na introduction ya smartphones ambazo zina operating system(os) yenye built inn softwares zinazoipa uwezo wa kutenda kazi karibu na za compyuta............watengenezaji wa simu...
Nahitaji kuapload picha yenye ukubwa wa zaidi ya 4MB kwenye server lakini hizi code zinaupload chini ya 512kb msaada tafadhali kwa mwenye uelewa wa php.
<?php
$sqlw = mysql_query("select status...
Wakuu naomba msaada kwa wanaojua extension iliyotumika kwenye site ya chuo Uhasibu Arusha( Welcome to Institute of Accountancy Arusha) ambayo ina blinking red arrow kuonyesha news inayohitaji...
Habari wadau. Ninatumia accer aspire 5250BZ467. Hii laptop ukiwasha inatoa mlio mkali sana, ukiizima Kisha ukiwasha tena baada ya muda ndio inawaka. Vilevile Mara nyingi namba '7' hujiandika...
Wakuu natafuta fundi mzuri wa Lexus RX300 kama yupo jijini Dar es Salaam. Dashboard imewaka ghafla taa za VSC (Vehicle Stability Control) na Check Engine. Nimefanya service Victoria filling...
Kwa mujibu wa Microsoft asilimia kubwa ya benki katika nchi zinazoendelea zinatumia programu ya Windows XP katika kuendesha ATM, hivyo kuwa moja ya waathirika wa mpango huo.
KWA UFUPI...
Habari wadau!!
Kuna hili swala nimewasikia watu wakisema nyumba inavujisha umeme, ni nini hasa hichi kitu?? Umeme unavujaje maana nimepata maelezo yanayotatanisha!! Wengine wanasema sijui hutokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.