Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
HABARI WAUNGWANA SAMAHANI SIMU YANGU IMEHARIBIKA CAMERA NA TORCH KILA NIKIFUNGUA INANIANDIKIA (Unfortunately the process com,android.gallely 3g has stopped) NIME RESTORE IMEGOMA NA NIMEFLASH PIA...
0 Reactions
3 Replies
803 Views
Habari zenu Wadau, naomba mnisaidie kupata program ambayo itaniwezesha kuplot cordinates za GPS. Mfano umepima eneo uweze kuona boundaries zake n.k Asanteni sana
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu habarini za weekend, Nimenunua modem ya Vodacom e173 nataka kuichakachua kwa matumizi ya mitandao mingine Nimejaribu kusearch humu JF sijakutana na hii kitu So please mwenye maujanja...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Wakuu nimeona mahali kuwa kuwa uwezekano wa kutumia whatsapp na viber kwenye laptop kwa kutumia application ya bluestacks. Naomba maujuzi inakuwaje hiyo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale ambao mnatumia decoder za Qsat ,Je zenu znaonesha..?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
KUTOKA VODACOM Hatimae Vodacom Watuletea Huduma hii kwenye Menu yao ! Yaani *149*01# Na hii inaweza kuathiri ile ya zamani yaani **62*0754125125# lakini thibitisheni kwanza! Kama haifanyi...
3 Reactions
7 Replies
7K Views
Wakuu salamu Nnaomba msaada kwa mtu mwenye utaalamu na mambo haya ya hiz smu touch kama kuna madhara yyte yatatokea kwenye simu yangu baada ya kuzama kwenye ndoo ya mafuta ya taaa?nnaona kwasasa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
heshima kwenu wakuu..tafadhari naomba muongozo kwenye hili jamani nahitaji kuzuia baadhi ya site ambazo hazina umuhimu kwa vijana wangu ni application nzuri ambayo ni free au ni njaia gani nzurii..
0 Reactions
5 Replies
958 Views
OAU student builds a solar-powered car (PHOTOS) » African Spotlight
0 Reactions
23 Replies
3K Views
APR 3 Apple Yatangaza WWDC 2014 Kampuni ya Apple yenye makao makuu yake huko Cupertino imetangaza mkutano wake mkuu wa waandika programu unaojulikana kama World Wide Developers Conference wa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
msaada unlock code ya iphone 4 sitaki kuflash please
0 Reactions
0 Replies
574 Views
kwa wale wanaotumia decoder za continental Mkoani Arusha, ili kupata channel fanya yafuatayo. 1. kwanza toa antenna nje kama ilikuwa ndani (kwani tayari wamefanya baadhi ya mabadiliko) 2. nenda...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
10 Mind-Bending Facts About The Milky Way GalaxyAndrew Handley November 24, 2013 Everybody has a different definition for the word “home.” For some...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
:israel:Help please am using window seven, i installed it two weeks after my old window collapsed but the problem with this window is that "it fail to downloads updates" is not due to internet...
0 Reactions
2 Replies
686 Views
Naomba msaada juu ya kudownload whatsapp kny ipad, nmejaribu nmeshindwa.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kihama cha watumiaji wa window xp cha tangazwa pitia hapa kwa taarifa zaidi....... Support for Windows XP for Enterprise Business is ending
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahanin.wadau. Naomba mwenye kujua anipe link ya sofrware nitumie ili nipate likes nyingi fb
1 Reactions
5 Replies
961 Views
Habari wakuu.. Google play store haitaki kufunguka kwenye simu htc inaniandikia connection time out.. Msaada plz
0 Reactions
1 Replies
636 Views
Habari zenu wakuu! Jana nikiwa ktk kibanda cha Fundi simu, nilishuhudia simu nyingi mbovu zilizopelekwa pale kwa ajili ya matengenezo, zikiwa na kidoti kidogo cha duara kwenye button namba 5 ya...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Play store inakataa kufunguka..
0 Reactions
0 Replies
502 Views
Back
Top Bottom