kwa anaye fahamu/kutumia c# naomba anijuze anatumia compiler gani sababu nataka kuanza kuandika program za c#.kwa sasa nimejarbu kuidownload hi microsoft lakini iko protected kwa wanatumia hii...
wanajamvi,naomben mnisaidie hasara za toroidal transifoma ,maana nimesuka amplifier ya watt 200, sasa navoconnect signal kwenda katika potentiameter, ndo iyo saut ya muungulumo inatoka katika speaker
Habari zenu wakuu?. Jambo nalotaka kuuliza na kujua toka kwenu wataalamu ni matumizi ya MODEM na PC SUITE by phone on desktop internet connectivity. 6¦1Tofauti ya ubora wa connectivity. 6¦1Swala...
Naomba mnisaidie jinsi ya kuunganisha 3G kwenye hii sim muda wote ipo kwenye EDGE kingine nikijiunga kwenye network mbona haioneshi alama ya blackberry kulia kwenye screen nisaidieni wataalam...
heshimna ziwafikie wakuu.
hka kasoftware nilika download kwa majaribio tu lakini ni kazuri vibaya sana sasa hv naweza ku restore from the factory simu yangu ikizingua chochote kwani mambo yangu...
habari zenu wadau. ninahitaji msaada wa software nitakayoweza kuzuia CD/DVD from copying. nahitaji nikiBurn CD/DVD iwe kama zile za bongo movie inaonekana kama ni 300GB , na haifai kukopy kwa...
Hello,
Natafuta water level sensor + indicator inayoniwezesha kujua level ya maji kwenye tanki. Inaweza kuwa midhiri ya ile ya mafuta kwenye gari au hata "digital version" yake.
Niko Dar es...
kampuni ya microsoft watengenezaji wa operating system za windows xp,7,8,Vista nk imetangaza kuifunga rasmi OS yake ya Windows XP. Pia imewataka wamiliki wa mabenki hasa Afrika ktk matumizi ya...
Leaked images of iPhone 6 released by French website | News.com.au
Kwa wale wadau wa ios jiandae sh, $,£ kitu kimeshawekwa hadharani soon kitakuwa mtaani! Kazi ni kwako
washington: US tech giant Apple has filed a patent for new technology that aims to make texting while walking safer by replacing the text background with a live video feed of whatever is in front...
Wakuu hasa wenye ufahamu, naombeni mnisaidie. Nipo kwenye mchakato wa kutaka kuagiza gari toka japan, nimeyapenda sn magari haya naomba mnishauri je ipi ni nzuri zaidi? Vigezo muhimu ni matumizi...
Tesla Car 'Can Be Unlocked By Hackers'
An iPhone app which is used to control the Tesla Model S is vulnerable to 'brute force' hacking attacks, a researcher warns.
11:14am UK, Tuesday 01 April...
Jamani kwa dunia ya sasa ilipo ,kwa sayansi iliyofanikiwa kutoa matokeo mazuri duniani ,MI NIMESHINDWA KUAMINI KAMA NI KWELI NDEGE IMESHINDIKANA KUPATIKANA AU KUNA HILA ZINGINE.......?
Natafuta sofware kwaajili ya ku flash simu kwa Gpg dragon box.
Software ninazo hitaji ni zile zilizo toka mwaka jana kuanzia miezi ya nane na za mwaka huu.
V3.29
V3.39
V3.44
v3.33
Nimejaribu...
Watengenezaji wa miwani za macho wanahofia kuwa watazamaji wa mwanga unaotoka kwenye vifaa kama simu kuweza kusababisha matatizo ya muda mrefu wam macho.
Wanadai kuwa watu wanaotumia simu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.