Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari waheshimiwa. laptop yangu ina tendency nikiwasha inaptoa mlio mkali sana badala ya kuwaka, naizima kisha baada ya muda nikiwasha inawaka vizuri. Pia sehem ya kuandika password kuna keys...
0 Reactions
2 Replies
874 Views
Anayefahamu bei ya simu ya Tecno P5 na changamoto zake anijuze
0 Reactions
12 Replies
7K Views
The iPhone "iPhone" could not be restored. An unknown errorleo nimekumbwa na tatizo hilo hapo,wakati nikitaka kurestore iphone yangu. msaada ambaye amewahi kukumbwa tatizo hii.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa Hakika Mungu amewapa Kitu cha Ziada Watu wenye asili ya Jews maana ukijaribu kutazama Waanzilishi wakubwa wa Social Network yote ni Jews People hata asili yao, Jaribu kutazama...
1 Reactions
95 Replies
9K Views
GHANA : UNE VOITURE 4×4 FABRIQUÉE À LA MAIN (VIDEO)
0 Reactions
14 Replies
2K Views
:tape::tape::tape: The world's No. 1 social network Facebook announced Thursday that it's working to troubleshoot the technical and financial obstacles to bringing the Internet to the rest of...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naombeni mnifahamishe smartphone zinazoweza kutumia game pad ukiitoa galaxy s4. Na je pad zake zipo..
0 Reactions
3 Replies
2K Views
. Huawei has confirmed that a dual-OS smartphone will be available in the US in Q2 2014, running Android and Windows Phone operating systems. Huawei's chief marketing officer, Shao Yang in...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za jioni wanajamvi! Naomba msaada wa namna ya kurudisha kitufe cha "back" kwenye Monzila Firefox. Kilikuwepo but leo nashangaa sikioni! Nimejaribu kila namna nikakwama! Tafadhali naomba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie nimesahau password ya simu tajwa hapo nifanyeje?
0 Reactions
2 Replies
871 Views
Computer yangu ina tatizo la ku stack. Watu wakasema ni virus. Nikashusha window... baada ya miez 2 ikazingua tena. Nikashusha tena. Ss iv ni miez kama mi3 iv inastack tena. Nifanyeje ili...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Anaeweza kunisaidia .kamera ya simu yangu galaxy s2 haionekani vzuri ipo kama na ukungu.yaani haina mng'ao ule wa kawaida.
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Wadau naomba mwenye uelewa juu ya step za kuanzisha na kuendesha kituo cha Redio nchini kwetu antufahamishe hasa kwa kuzingatia yafuatayo; 1. Mtaji 2. Sheria inayo guide 3.Vifaa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wadau kwa mara nyingine tena kisimbusi changu qsat q15g kimeacha kusimbua siku ya tatu leo.Kwa sasa naona fta tu:- TBC,EAST AFRICA,ITV,STARTV NA CHANNEL TEN. Je!kuna mwenye taarifa...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
ZIp ni app bomba zaid za photo editor na video downloader kwa cm za android
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu. Naomba mnijuze namna ya kutuma picha kwa whatsApp kwa kutumia iPhone 5. Please.
0 Reactions
6 Replies
984 Views
Umeme ni kitu cha msingi sana kwa sasa, hapa nashauri mwenye ujuzi,wazo ubunifu lete hapa ili tupate angalau volt 5-12
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nimepata simu ya galaxs3 ila inadisplay edge mda wote naomben msaada jinsi gan ya ku activate 3g data.. maana simu zingine zilizopo eneo hili zinakamata 3g vizuri tu thanks guys
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Jamani wanao miliki zoomtanzania web yenu mme iharibu sana aise imetoka from beaty to ugly Mr Kirk totolucky realy this is the best you did???? Zamani web yenu ilikuwa nzuri sana easy to use and...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
naomba msaada nimefikwa na tatizo hili waungwana...
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Back
Top Bottom