ni kawaida kwa simu mpya kutoka watu kuongelea specs kama processor na ram za hio simu, huku wakiviona hivyo vitu kama ugunduzi mkubwa. manufacture wa simu wamekuwa wakituziba macho kwa kutuekea...
Ni kozi ipi nzuri kati ya hizi ni nzuri na ni marketable kwenye ulimwengu wa IT :
C I EH = Certified Ethical Hacker
CISM = Certified Information Security Manager
CISA = Certified Information...
wakuu naomba msaada wa kulitatua tatizo hili la laptop yangu kugoma kuzima. Kila nikitaka kuzima niki cick shutdown haijibu chochote had nizime kwa kutumia start buton. Na ikiwaka unakuja ujumbe...
once again jf stores
aMAni nawaombeni kwa anayejua snipping tools software kwa windows xp kama ipo anitajie jina lake tu niidownload
maana kuna moja nimedownload inasumbua mara inataka .net4...
Microsoft Office 2010 is out. Tsh 30,000 per PC/Laptop and 100,000 per PC/Laptop + a lot of Pc/Laptop unlimited installation.For more info please call 0684888841.
Tire Class - "P"
The first character(s) in a tire size designate the tire's class. In this example, "P" indicates that the tire is a passenger car tire. An "LT" before the tire size designates a...
I installed Windows 7 one month ago. It now says "the copy of Windows is not genuine, please acivate it"
Please help me how I should activate it.
Ahsante sana.
Tangu jana huawei y220-uoo nikijaribu kuinstall whatsapp.apk na apk nyingine imekua ikiniletea error hiyo hapo juu! Nimejaribu kutick kwenye ile sehemu ya ku-allow non-market apps ila bado...
Wadau habari za hapo.?
Naomba kusaidiwa kujua laptop iliyokamilika drivers,maana nina laptop mpya,kuna mtu nimempa aniwekee window,anti virus lakini nashindwa kuconnect na wireless internet,sasa...
Wadau naomba kujuzwa juu ya application ambayo itanisaidia kwenye makundi mawili
1:kuzuia wizi. Unajua unaweza weka cm mfukoni ile unashuka kwenye gari kumbe washaibeba. Ningependa application...
Nina hilo tatizo wakuu,shida yangu kufungua website ambayo tayari nimesha desigm pages zote.kilichobaki ni kununua domain tu.but ni mtandao upi ambao naweza kununua domain na nikapewa free hosting...
Mark Zuckerberg:
I'm excited to announce that we've agreed to acquire Oculus VR, the leader in virtual reality technology.
Our mission is to make the world more open and connected. For the past...
Habari wana JF
Naomba msaada wa kujulishwa namna ya kutengeneza kijiprogram kidogo hivi.
Nimetengeneza work sheet mzuri kwa ajili ya kutumia watunza kumbukumbu za ofisini pamoja na wahasibu kwa...
Surprise, surprise! It does seem that Microsoft is really going through major changes. Not only have we heard about rumors about a free version of Windows 8.1, but now, Microsoft has released the...
kama unahitaji programmer wa kukupunguzia vikazi vidogo vidogo, Gui Programming/Network Programming/Graphics & Animation Programming for 24 hrs Free of charge Just PM Me.
msaada jamani,nina intex ibuddy tablet
android version 4.0.4
bb version M1190 v1.0.8 p10
kernel version 3.0.8
build number intex ibuddy connect v1.2
ipo chini sana kwenye internet...
msaa jaman me sim yang nilimpa mtu anishkie kwa mda bt jamaa akaichezea kwa bahat mbay sim ikajiblock .je nifanyeje ni unlock sim yang coz internet connection nilikuwa sijaiactivated
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.