Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada simu yangu ilikua inataka ni up date whatsapp application nilipojaribu ku up date ikawa inachukua muda mrefu sana mpaa inakataa nilichofanya ni ka unistall ...nikajaribu ku install aitaki...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
aomba msaada wa 1.gharama zote 2.process za kufuata ili uwe regstard 3.campany nzur ya kuhost hyo website 4.malipo yake kwa mwez au mwaka
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nataka niweze kuedit video, picha za kawaida, kutengeneza Magazeti na vitabu kwa ujumla nataka niwe mahiri katika mambo hayo, nisome Program zipi na wapi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mark Zuckerberg I'm excited to announce that we've agreed to acquire Oculus VR, the leader in virtual reality technology. Our mission is to make the world more open and connected. For the past...
0 Reactions
2 Replies
683 Views
Wadau naomba msaada wa key za hiyo IDEOS,kuna mtoto aliichezea simu sasa nikiiwasha inadai key za hiyo kitu na nikibofya DISMISS network inakuwa haishiki!
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari zenu waungwana wa Tech, Naombeni niulize, hivi HTC One X ni Low range or Mid range or High range smartphone? CCChief Mkwawa
0 Reactions
1 Replies
523 Views
wakuu naomba kuelekezwa jinsi ya kuunganisha wifi internet kuna maneno yananizemgua mfano poor strength signal,wep secured,remembered ,not in range...pia ---- mahali inasoma ila ---- kakufuli kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa, nimekuwa nikizitafuta sana ps3 lakini nimezikosa, naomba kwa yeyote anayejua zinakopatikana anifahamishe itakuwa vizuri kama ataniambia na gharama yake pia. Ahsanteni sana
0 Reactions
9 Replies
2K Views
i would like to formulate a document with more than one word and more than one sentences and to be stored in the file called Myfile then to write a program by using either c or c++ which can read...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
. !Do you know?-Codebase that is capable of running the largest social networking website Facebook is ‘Hack.’ It is hack but it has little to do with hacking. Hack is a new programming...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamii naomba msaada kwani mdogo wangu alipokuwa anatumia laptop yangu amefanya programm zote zionekane kuwa ni microsoft word.Nimejaribu ku restore lakini bado program zote zinafunguka...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Natafuta kioo (Screen touch) cha Tecno Phantom AIII (aka M9). Mwenye nacho anijulishe tufanye biashara. Simu yangu ilidondoka ikapasua kioo kikawa hakisense chochote ninapokigusa.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari! Ni kweli ndg yangu nahitaji msaada wako. Baada ya simu yangu kuharibika,Nikanunua Sony Ericson M600i ni nzuri nimeipenda lkn sasa vitu viwili inanikwaza 1.Internet tangu niinunue...
0 Reactions
4 Replies
859 Views
Habari za leo wadau, Kuna namba inanitumia jumbe za ajabu ajabu na za matusi, sasa nataka niblock hiyo namba. Kila nikidowload call block inanipa option ya kununua na sijui nanunuaje. Msaada...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
:A S 465:Angalia kutangazwa kwa HTC One mpya moja kwa moja (live) kutoka New York hapa (saa 12 jioni kwa saa za Afrika Mashariki) HTC Launch | HTC United States au hapa...
0 Reactions
2 Replies
928 Views
Natumia Samsing Galaxy Ace ilikwepo na program ya yutube nikai ondoa nilivyo jaribu kuidownload upya inaniandikia hivi google play service, which same of your application rel on, is not...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina simu aina ya BIRD V280 ilipoteza network ghafla mpaka sasa ukiweka line yoyote inaitambua ila hakuna network hata kidogo! Yaani simu/sms haziingii wala kutoka,nimejalibu ku restory setting...
0 Reactions
1 Replies
823 Views
12th Class Student Made a Shoe that Charges Mobile While Walking This is very useful for the place where no electricity available, only by wearing these shoes you can walk and charge your phone...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nimekuwa nikisikia kuwa uzuri wa laptop ni kutegemeana na uwezo iliyo nayo, naomba kwa yeyote anayejua laptop nzuri na imara ina qualification zipi? Kwa sababu nahitaji kununua na bado...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NB::: click kwenye jina la application kuelewa zaidi...... Technology is now the essential part of every person, and the applications are developing on the basis of our requirements...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom