Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau account yangu ya facebook ilifanyiwa madhambi nna uhakika ni jamaa wa Tunisia! Wakadelete picha na kila kitu cha kwenye account yangu! . Sasa sielewi baada ya hapo kama wali ridhika au...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau, Naomba mwenye uelewa wa hii tablet anisaidie hapa. Inbuilt memory ta simu ni GB 8 na imejaa nikanunua SD Card ili kuongeza memory but nashindwa kuiset SD card kama default memory kwa apps...
0 Reactions
5 Replies
735 Views
kwenye post ya jinsi ya ku unlock huawei modem E173 kuna step nimekwama nilikuwa naomba msaada kidogo juu ya hii step"Then kisha angalia katika tabs juu na chagua "Select Firmware" Then chagua...
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Salaam wakuu, naomba msaada kila nifunguapo Office 2010, kwenye computor zangu 2 zina toa warning bango kuwa micro soft office is not activated linasumbua sana naomba msaada...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
rafiki yangu ana huawei y 300 analalamika youtube haiplay haifanyi chochote.pia anataka kuchukua picha instragram anashindwa.unakuta kapenda picha flani hawezi kuchukua. #mjumbehauwawi #
0 Reactions
1 Replies
663 Views
Nmedownload droid vpn kwenye cm BT nataka kujua zaid hizi VPN zina umuhimu gan Ahsanten
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nlikua nataka kufahamu jinsi ya kusetup email accounts kwenye aina ya simu tajwa hapo juu Natanguliza shukran
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Heshima kwenu wakuu nimenunua simu aina ya samsung GT-18190 tatizo speed yake ndogo mno. Naomba mwenye uelewa anijuze natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
RUN Commands Run Commands ----------------------------------------------------------- START >> RUN Accessibility Controls access.cpl Add Hardware Wizard hdwwiz.cpl Add/Remove Programs...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani Ninashindwa kuelewa hii app. coz nilidownload ikawa inanigome kuinstall mpaka niupdate graphic card. nikaupdate nikafanikiwa kuiweka. Ila nikiifungua inaniletea yale mafile ya android...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
direct link her::Thank you for downloading ImgBurn 2.5.8.0 from FileHorse.com You can follow the steps as below to complete the burning. Installation: Double click the EXE file...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa anejua kuhusu VPN naomb. Ani tell
0 Reactions
4 Replies
645 Views
desktop customazation zipo nyingi ila tuzicheck na hizi kwanza wakuuu!! Fences Have too much icons and shortcuts on the desktop but too lazy to organize them? That's the most common...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
How To Hack & Access Same LAN Computers ? If you are working in Office / Colleges and want to hack your friends & college mate PC then here is a trick. First Step press win+ R Go to Run> Type...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nina tecno yangu nikijiunga sana na bundle mwisho wa siku inakuja icon inaandika data usage warning sasa hii sms ina maana gani msaada tafadhari.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu naomba msaada jinsi gani naweza ku extract (kuitoa) picture iliyowekwa kwenye file la muziki (MP3). Kuna logo moja niliwahi kuitengeneza hapo awali sasa naitaji kuitumia sehemu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna sim ya jamaa angu huawei ascend y300..mdg wk alikuwa amechezea pattern so imejifunga na sim ime mrequest email address yk na password na mbaya zaidi haikumbuki e-mail wala password...
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Nina simu ya samsung GT-C6712. Simu hii kwa upande wa juu kabisa katika simu inaonyesha USB cable ipo connected. Na betri inaonyesha inaingiza chaji. Nimejaribu kufanya factory resert lakini ttzo...
0 Reactions
1 Replies
891 Views
jaman nauliza ni jins gan naweza kudownload picha au kuichukua picha ya m2 instagram
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau habari za hapo.? Naomba kusaidiwa kujua laptop iliyokamilika drivers,maana nina laptop mpya,kuna mtu nimempa aniwekee window,anti virus lakini nashindwa kuconnect na wireless internet,sasa...
1 Reactions
0 Replies
705 Views
Back
Top Bottom