jaman wana jf wenzangu naomba mnisaidie kwa yeyote anayejua application nzuri kwa muvi ktk android au anayejua kuhusu jinsi ya kudownload muvi katika hii application ya "videorder"coz nliifungua...
Wakuu.
Msaada jinsi ya kuweka mobile data.configuration (internet) kwenye Nokia Lumia 520.
Msaada pia jinsi ya ku upgrade windows.
Jinsi ya kudownload apps.
Naomba msaada nimepewa samsung gts 5230 but haisomi laini wala USB kwenye computer BUT UKIWEKA LAINI INAANDIKA "PHONE FREEZE SIM UNAVAILABLE" Nifanyaje wadauuu msaada hapo
Habari zenu ndugu zangu..nimenunua ps2 console slim black yenye uwezo wa ku-play burned dvd games kama zile za kariakoo za buku tano (5000)..je hii ps2 console ina chip yoyote ndani yake au haina...
Ningependa kulimiliki hili ji simu, je kwa yeyote anazielewa anipe experience yake cje nkaingia choo cha kike
Samsung Galaxy Mega 6.3 I9200 - Full phone specifications
Install window XP In 10Min.>>Hey Guys Diz Time Extreme Hack That You Will Never Imagine But Its Truth and We have Done It. This Time I will explain How to Install Windows XP In Just 10 minutes.<<...
Hack Windows Admin
Today, i am going to show you many aspects of the Windows Password Storage path, Method of Encryption, and breaking into Windows by cracking the admin password. We need...
nimekuwa ni ki-browse kutafuta ufumbuzi, maana hata ile ahuweni ya usiku sasa wana-ilimit, kuna hii moja nimesikia inaitwa IPVanish, naombeni mnipe ushauri kama ina faa hapa tanzania.
Phishing Attacks
Here we tells about PHISHING & How can we protect from it.~!
>>WHAT IS PHISHING:-
The act of sending an e-mail to a user falsely claiming to be an established...
Rejea kichwa cha habari, naomba mwenye ufahamu juu ya tofauti kati ya computer ya 32bit na 64bit, ingawa kwa sasa naona computer nyingi zinakuwa 64bit, je unaweza badili kutoka 64 to 32 bit.
Wadau wa jukwaa hili ni matumaini yangu mu wazima. Naomba msaada jamani natumia samsung galaxy s3 mini.ina tatizo la kutoa sauti ndogo sana unapo plug in earphone nilizani Tatizo ni aina ya...
Hellow expert i'm experiencing a problem always when i installed this window tatizo ni kwamba nafanya installation vizuri machine inakuwa poa na huwa na fanya installation ya software ninazo...
Wana JF,naomba kujua kutokana na uzoefu wako binafsi aina ya simu ambayo itakuwa ni ya kasi sana na ina uwezo wa kuangalia Youtube,download n.k. bila shida.Pia yenye uwezo ambayo unaweza ukaandika...
TAHADHARI! Inasemekana kua leo usiku saa 6:30 hadi 9:30 miale inayoitwa COSMO, itaingia DUNIANI kutoka sayari ya MARS. Hivyo zima simu yako usiku na iweke mbali nawe usilale nayo kwa sababu ni...
Polen na majukumu. Nna kitu kinanitatiza. Hivi hizi anti-virus za bure za kwenye simu za Android zina msaada wwte?
Hizi android zinaweza kua attacked na virus?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.