Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wakuu naomba msaada wa wapi au maduka ntakayopata kioo cha laptop tajwa hapo. Natanguliza shukrani kwenu.
0 Reactions
3 Replies
947 Views
Wandugu nadhani mnajua kuwa beIN TV Sports huwa inaonyesha mipira ya premier league. Hii channel nimekuwa nikiiona sana kwenye cable za mikoani na Zanzibar. je naweza kuipata kwa dish na decoder...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
wakuu nina external hard drive Samsung 320 gb ilianza kuunguruma ghafla nikiiconnect haifanyi kazi ipo tu kama haijaconnectiwa haiwaki kitaa wala kusoma. msaada tafadhali
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada,nimenunu Idea Tab Lenovo a3000-ambayo ina support 3G na pia ina ingia sim card mbili,naweza kutuma na kupokea messages lakini siwezi kupiga wala kupokea sm...kwa kuongezea tu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Boresheni App yenu.....sometimes inakera sana kusubiria mpaka ifunguke. Sometimes mara i crash...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani wana JF nahitaji mnisaidie kunielekeza kujua aina nzuri ya Anti virus katika Simu yangu!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nbc
Wadau, eti hiw much does it cost to withdraw money from NBC ATM. Au hamna charges kabisa?
0 Reactions
2 Replies
733 Views
Construction at Konza City to start in three months time...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hey
nilikuwa na install instagram wakati naendelea nikaambiwa nichague file mimi nikachagua memory card baadae nilimalizadownload ilipomaliza nikaambiwa fungua nilipofungua nikaambiwa file not...
0 Reactions
3 Replies
764 Views
Naombeni msaada wa kufahamishwa bei za blackberry Q10 na Q5 Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana Jf kwa anayefahamu fundi mzuri wa simu za i phone naomba anijuze. Awe hapa zanzibar au dar es salaam. Its urgent kamtambo kamezimika sipo hewani. Au kama mtanisaidia kupata uzi mmoja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tv yangu ina matundu ya Componet/AV in tu.sasa nataka sauti ya kwenye tv niiconnect kwenye hometheater lkn sasa sioni sehemu yenye audio out kwenye tv..na sehemu moja iliyobakia ambalo ni tundu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
. . Motorola unveils Android-powered Moto 360 smartwatch - GSMArena.com news
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenye uzoefu na lapotop za sony.. je ni nzuri compared na HP
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF. Nauliza,vp Azam tv kwa Mwanza inapatikana?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Unaweza tuma file lako lolote lile bila shida yeyote, ni application ya nguvu kwa PC ONLY. Ingia hapa: Mrina File Master - File Sharing system
0 Reactions
3 Replies
978 Views
Game Developers Conference (GDC) 2014 - 17/3 - 21/3 Kwa wale gamers na wapenzi wa gadgets conference kama hizi na nyingine kama E3, MWC hua si za kukosa angalau kupata dukuduku za kinachoendelea...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Wadau kama kuna mwenye Idea atueleze, nataka kutumia BlueStacks kwenye simu yangu ya android, lengo likiwa kuniwezesha kutumia whatsapp zaidi ya moja kwenye simu. Au kama kuna njia nyingine...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu jana google walinitumia IP adress ya mtu aliye kuwa anajaribu ku log in kwenye email acount yangu ya Gmail, na IP inaonyesha yuko Dar ila sasa nilitaka kumjua ni nani hasa? IP yenyewe ni hii...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
habari waungwana naomba msaada nina laptop yangu inaingia window vista, na 7, je ninaweza kuweka window 8. ram yake ni 1.50 gb maanayake gb 1 na nusu. aina ya pc ni fujistu LifeBook.
0 Reactions
2 Replies
806 Views
Back
Top Bottom