Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu hii phone ni nzuri ila mbona yangu inapata moto mno wakati nikiwa niko internet! Sababu ni nini? Natanguliza shukrani;)
0 Reactions
10 Replies
1K Views
je jinsi gani utaplay real football game kwenye huawei u8180 inanizingua sana kuplay je nifanyeje wakuu
0 Reactions
1 Replies
589 Views
Naamini wengi wameshawahi kukutana na hili tatizo kwenye simu ya screen touch ,unatuma msg kwa mtu mwingine lakini deliver y report inaonyesha uliyemtumia siye still msg inakuwa imeenda kwa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
salaam.tumefaidika sana posts za ebay,na napenda kuwa shukuru wachangiaji kutufungua macho.naomba wazoefu mutupe uzuri na ubaya wa banks mnazotumia kwaajili ya ebay interms of charges,reliability...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Recently I asked our partners a question that they must get asked all the time. It goes something like this: Why can't people just use a company that will design something cheap and bang it out in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar za week za jioni wana jukwaa samahan kama ntakuwa nimeuliza vibaya mimi ni mpenz sana wakuanngalia emmanuel tv scoan ile chanell ya nigeria . Naomba kuuliza kwenye king'amuzi cha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wapendwa! mwenzenu nataka kununua Laptop ndogo(min laptop) kwa shughuri zakawaida tu, kubwa nikusomea through internet na pia kuandaa notes as a teacher! sijawah miliki laptop yangu...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Simu Yangu ya huawei kuna muda inakata mawasiliano. Mtu akiongea mimi namckia lakini yeye hanisikii.. nisaidieni wataala
0 Reactions
12 Replies
2K Views
BlackBerry has been a byword for security. A statement which is testified by a number of United States Government agencies and administrations using it, including the White House. According to a...
0 Reactions
1 Replies
785 Views
sumsung yangu, ilipiga shot wakati nimechomeka kwenye sub woofer la kichina. Nikaenda pale posta jiran na JM mall, kwa sumsung service wakaniambia mashine yake imekufa yakubadilisha, na wao...
0 Reactions
3 Replies
762 Views
Msaada jamani nataka kuunganisha computer moja na nyingine kwa njia ya wireless
0 Reactions
9 Replies
3K Views
iday, March 21, 2014 Philips innovation hub boosts Nairobi's ICT status...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dear my friends in real life, 1. Please don't ask me to hack facebook accounts because you think 'hacking' is all about hacking into facebook or emails. I don't know anything related to...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Habari zenu wandugu. Naombeni msaada wenu nina computa dell optiplex 210l imekufa sound card nikaweka pci sound card uki instal win sp3 softwinn inarudisha driver lakini nikiweka win7...
0 Reactions
1 Replies
620 Views
Connection iko ovyo kinoma leo, nikiweka hotspot ndo inakuwa useless kabisa. Wenzangu mnaonaje?
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimenunua laptop leo kariakooo,, ni mpya kabisaa bt kuna kitu sijkielewaaaa bado,, usb port hazifanyi kazi,, tatizo ni nn litakuwa??
0 Reactions
1 Replies
685 Views
habari rafiki, kuna jamaa alijichanganya kuinstall windows kwenye macbook pro ya 2006 bila kutumia bootcamp. Kilichotokea ni kufuta OS iliyokuwemo na installation kutokamilika, kwani inamuambia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Major discovery bolsters Big Bang theory of universe By Kerry Sheridan 11 hours ago 0 shares...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau hebu chekini hii mniambia is it fake or real? GoPaidWeekly.com Get Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Wana jamvi hii simu nimenunua kwenye posta dar kwenye tigoshop kama mnavyofahamu inauzwa sana huko. Ila baada ya kuanza kuitumia lwo ikiwa siku kama ua 6 nimeanza kuona matatzo ninapokuwa napokea...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Back
Top Bottom