Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
I need the assistance on how to remove my picture and block the facebook account opened by unknown person for using my name and photo.
0 Reactions
2 Replies
743 Views
Scientists have been able to turn an ordinary plant into one that is supercharged by inserting nanomaterials into the energy-producing structures within the plant. The team tripled a plant’s...
1 Reactions
0 Replies
850 Views
vipi wadau hii camera wameindoa nini..naitafuta lakini sijaipata,nakuta nyingine ambayo imefanana nayo ambayo ubora wake haiko poa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habar vp wadau ,nilikuwa naomba msaada wa kiufund jinsi ya kuunganisha na Wi-fi maana najarbu inazngua huu mchina wa smartphone
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Wakuu habari zenu za jioni nilikuwa nina shida ya kupata mtaalamu wa kutengeneza blog nzuri kabisa nahitaji sana kwanh nataka kufanyia mambo yangu kama yupo anaefahamu kuhusu utaalamu huo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu natafuta series ya filamu ya 'SAMANTHA BRIDAL',hii ni ya wakenya ilikuwa inaoneshwa na Star tv mwaka jana(2013).Naomba msaada namna ya kuipata niko Mwanza.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
When charging my blackberry curve 8900 the battery icon appears with a red line through it. What to do?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
See the moment a physicist learns his life's work on the Big Bang theory is valid, pops open ChampagneBy Mike Krumboltz, Yahoo News 22 hours ago...
0 Reactions
1 Replies
641 Views
Tiny Planet Mercury Is Shrinking Fast By by Nola Taylor Redd, SPACE.com Contributor March 18, 2014 7:16 AM...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni mtoto aliyezaliwa India na akili isiyo ya kawaida hadi kufananishwa na Albert Einstein. Ubongo wake haupotezi chochote na kwa umri huo anajua na kukumbuka mambo mengi ajabu.Elimu yoyote kuanzia...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari zenu Wadau, Natumia machine aina ya DELL Vostro, napata tatizo baada ya ku-login to windows inakaa kwa dk1 tu halafu ina-turnoff display, inaendelea kuwa ON. Nimejaribu kuongeza brightness...
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Imekua na tatizo.haiwaki.ukiweka betri tu inakua on kwa kuonyesha lile neno blackberry na mstari chini unaojaa bila ya kufika mwisho.msaada wa ushaul
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nisaidieni hili, natumia Tecno S3 ila mara nyingi sipatikani japo simu inaonesha kuwa minara iko juu,kuna mtu aliniambia nikifanya 'Reinstallation' itasaidia,sijajua kama itasaidia. Mawazo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tablet yangu haikubali kutuma/kupokea mafaili kwa njia ya bluetooth pamoja na kuwa uwa imeunganishwa kwenye kifaa kama Kompyuta au simu ninayotaka kutuma faili! Ninaomba msaada kwa wajuzi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
msaada wa haraka mwenye kujua ofisi za king'amuzi cha CONTINENTAL
0 Reactions
1 Replies
821 Views
Wadau natafuta original battery ya sony ericsson experia nipo Dar
0 Reactions
2 Replies
900 Views
Wanajamii ninaomba msaada wenu. 1. Nahitaji line ya uwakala tigopesa inayoweza faa temeke wilaya. 2. Naomba mawasiliano ya viongozi act. 3. Nauza gari yangu nipate ada , ni crester gx 100 vvti...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Habari wadau,nina pc dell(desktop),nikiiwasha inaniletea message,”no booting device”na maelezo mengine mengine kama press F1,press F2 etc,nimejaribukubadilisha hard disc lakini tatizo lipo pale...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wataalam naomba msaada ku-unlock ngoma isomee line zote !
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nimehangaika sana kutafuta kwenye mtandao photo ediditing applications for android lakini nilizopata hazina features makini, ni za kawaida mno kama kuweka borders, kubadili rangi na features...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom