Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ndugu zangu niliandika hapa kuhusu laptop yangu nloipenda sana kutopitisha charge..baada ya fundi kuifungua na kuichek imegundulika kuwa AC imeungua..na madukani hamna labda kwa mafundi wa comp...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenuu, nauliza kama kuna madhara yoyote ya kureset simu mara kwa mara. simu yangu ina internal space ndogo sasa huwa nina tabia ya kuireset pale itakapokuwa imejaa kwa sababu inakuwa...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Mie mwenzenu nakasirishwa na karibu bloggers wote wa Tanzania. Hawana mwelekeo wala malengo na inaelekea hawajui nini wanakifanya. Kwanza blogs nyingi hazina original content! Content nyingi...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello, jaman naomba msaada sim yangu ya Nokia aina ya x-2 ukidownload file la PDF halafu akataka kulifungua naambiwa file not supportive hiv nifanye nini na hili tatizo?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi I am wondering what What functionality should be the most important element for a ERP System. Different people may choose different ERP Sytems, but it is fair to say that there must be some...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Ninapoitumia hasa kwenye internet inapata joto sana na charge haikai muda mrefu inazima. 2. Wakati mwingine inaishiwa charge wakati IPO kwenye kuchaji! 3. Tatizo hili limeanza zaidi ya juma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
If you root your Samsung device, then you will be able to install custom ROMs that are based on newer Android versions which have more features and more customization options. Rooting your device...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari. Leo nimependa kushare na nyinyi baadhi ya vitu ambavyo mnunua simu (Especially Smartphones) ni vema akivizingatia ili asijutie maamuzi baadae. Nisipoteze muda, ebu tuanze. 1. Kwanza...
3 Reactions
10 Replies
6K Views
Je unajua kuwa unaweza kuhifadhi mafaili yako mtandaoni? Usiweke documents zako zote kwenye flash disk ama computer kwani vikiharibika ama kuibiwa ndo basi tena. Kuna mitandao mingi inatoa free...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Report a Phishing Page . Page itakayo ripotiwa itakuwa Banned na Google! .
0 Reactions
2 Replies
750 Views
Wakuu wapi ntapata motherboard ya desktop pinout socket LGA 1156 au LGA 1155.
0 Reactions
2 Replies
865 Views
WAKUU MAMBO NIAJE,SAMAHANINI SANA WADAU NAOMBA MSAADA JINSI YA KU CONNECT INTERNET (KUFANYA SETTINGS ZA INTERNET ) KWENYE MTANDAO WA VODA,MAANA SIKU IZI CUSTOMER CARE KUWAPATA IMEKUWA KAMA VILE...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
10/03/2013 Galaxy S Kuipiku iPhone? Samsung ndio kampuni inayoitia tumbo joto Apple katika simu. Ingawa kama simu moja, kuanzia iPhone ya kwanza hadi ya sita yaani iPhone 5, simu hii imekuwa...
4 Reactions
66 Replies
12K Views
nimetoa battrry baada ya sk 3 nimerudishia battery inavibrate tu bila kuwaka,naomba msaada wenu.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
habarini na heshima kuu kwa wanajamvi wote,lengo la kuanzisha hii thread ni kuomba msaada kama title ya thread inavyojieleza. iko hivi,nimebahatika kujikomboa na kununua samsung LED TV INCH...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Za asubuh wakubwa..nina modem ya sasatel ya huawei mobile broadband na nilikua naomba kuna way ya kuiunlock itumie lain nyingine naomba mnisaidie..help will be very much appreciated
0 Reactions
6 Replies
1K Views
msaada kwa yeyote anayejua utaratibu wa kuanzisha blog mpya
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu naomba kuelekezwa jinsi ya kuedit profile yangu humu jamii forum na vile vile jinsi ya kuweka profile pic au sijui mnaiita avater.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ifuatayo ni moja ya mashindano duniani yanayo-u-shape ulimwengu wa teknolojia. Natamani sana siku moja nione Watanzania wengi wanashiriki kwenye mashindano kama haya, I hope siku moja itakuja...
1 Reactions
0 Replies
535 Views
Back
Top Bottom