Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu, Naomba msaada juu ya hilo sababu natumia Huawei U-8650 ila nimekuwa nikipata shida wakati nikitumia browser ya Opera mini{ama zote zile za kudownload like Ucbrowser yaani sio hallisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanaJF! Kwasasa ninatumia Laptop HP 620 yenye specs zifuatazo; RAM 4GB, PROCESSOR 2.33Ghz dual, HDD 500GB, OS WIN7 32bit. Nahitaji kubadilisha Window kutoka Win7 kwenda Win8; Nimejaribu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada jamani mtu anayeweza kunipa template hizo zenye link kati ya worksheets mbalimbali. Asante
0 Reactions
0 Replies
830 Views
wadau jiepusheni na bidhaa za china low quality pc imeandika no keyboard found installed pres f2 to continue .back ground inaonyesha pc hyo ilinunuliwa elfu 48000 tshs
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Tigo kwenda tigo sms free enjoy
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Flash yangu ya HP ya 4GB imebadilisha storage from 4GB to 700MB. Nilimuazima MTU na baadaye akaniletea na kukuta storage capacity ipo 700MB. Mwenye kujua namna ya kusolve hili tatizo anijuze...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wanajamvi naombeni msaada nina smartphone ya zte ambayo inatumia line ya ttcl peke yake, kwaiyo na6beni mnisaidie
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jaman nisaidien jinsi ya kuconnect internet ya voda ili kuweza kutumia bure au free internet
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Must read Kama unampango wa kununua tablet iliyobora kwa bajeti yako Kama wataka kujua kiundani tablet tofauti tofauti Ungana na GSMARENA hapa: The GSMArena tablet shopping guide...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu poleni na mihangaiko ya Maisha....... Naombeni Masada wenu Nina Ipad 2 Ina run iOS 7.0.6 naitaji kuinstall cydia bila kujailbreak, mwenye program au mbinu ya kufanya naombeni mnisaidie...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kama umegundua kuanzia updates ya version 2.11.186 ya whatsapp for android wameongeza option ya privacy ambapo utaweza kuzuia watu kuona last seen, kuona profile picture pia unaweza zuia watu...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba msaada, nimehangaika sana lakini sijafanikiwa, natumia Vodacom Smart Mini V875 nashindwa kufanya set up za JF!
0 Reactions
1 Replies
676 Views
Wandugu, msaada wenu unahitajika. Nina kama siku tatu hivi sioni sign out option nikiwa kwenye inbox yangu ya yahoo. Nasign kawaida kuingia lakini nikitaka kutoka nalazimika kuexit kwa kufunga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
If you want to know that your Facebook account has been hacked then follow these steps: 1. Log in to your account then 2. go to settings then 3. There is a security tab click on it then 4. you`ll...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Juzi nilienda kituo kimoja cha mafuta kununua oil ya gari: zamani nilikuwa natumia multgrade oil SAE 20-50, nikataka nibadili initumie SAE 15-40 na wakaniuzia ORYX ENDUR0 600 nakuniambia inatumika...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Hivi karibuni kampuni moja iliyopo New York imetangaza kua ina mpango wa kurusha Wi-Fi ya bure kutoka angani kwa kutumia satellite ambapo itaweza kumfikia kila binadamu kokote kule aliko ilimradi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nisaidieni wakuu kwani huwa niki install program kubwa space inajaa .
0 Reactions
8 Replies
2K Views
naomba nielekezwe namna ya kuinstall google play simu yenyewe ni nokia asha 311.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari Mimi sio mtaalamu wa Dish wala mambo ya tv Nilikuwa na DSTV lakini kwa kuwa ni mpenzi na shabiki wa michezo nikashawishika kufunga pia AZAM! Nina kama week moja hivi. Kwa kweli...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wana JF, Natumia laptop yenye window 8. Nashindwa ku-install program aina ya msi na nyingine zenye mfumo wa zip. Nilitaka kuinstall swahili dictionary ya TUKI ndipo nilipo anza kuona hilo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom