Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wapi nitapata hii camera hapa Dar es salaam. Kama unafamu plz nifahamishe..
0 Reactions
3 Replies
996 Views
Kila niki sign in kwenye gmail yangu akaunti kwa kutumia simu yangu wananiambia ni type maneno ambayo ni magumu kuya type .jamani nifanyaje ili niondoe hili tatizo. kwa sababu ninashindwa kusoma...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu nimejaribu kuconnect internet kwenye laptop but modem inazingua network inasoma ila nikiconnect inachukua mda mrefu kutoa majibu halafu hainipi majibu chanya tafadhali naombeni msaada
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Kila niki update whatsapp kwenye TECNO M3 inadowload mpaka mwisho lakin ikianza Ku install inagoma inaandika application error" 960" naomba msaada jinsi ya kutatua hili tatizo
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Moja na features za win7 ni windows Fax. Wadau naomba kujuzwa kama kuna mtu yoyote aliyewahi kutumia hii huduma ya fax kwenye pc yake....na je hizi modem za kawaida za huawei 3G zinaweza kusupport...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Habari wanajamvi!!!. Nina computer yangu ya Apple aina ya iBook operating system yake imebroak na kwa bahati mbaya sina hata CD yake ya kufanyia installation,Tafadhari kwa Mwenye ujuzi na hili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
25 Ways the Web Has Changed the World The World Wide Web celebrates its 25th birthday this week, and what an impressive 20-something it is. Tim Berners-Lee’s invention has changed our day-to-day...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
'The Big Bang Theory' Gets Renewed for 3 More SeasonsBy Kelly Woo 19 hours ago Yahoo TV...
1 Reactions
0 Replies
880 Views
Habari wakuu wa hili Jukwaa, Naomba kujua Maana halisi ya PING kama inavyotumika kwenye Network haswa INTERNET. Na Je! kwa nn huwa tuna-PING Network. Tafadhali mwenye Uelewa kuhusiana na Hili...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wandugu. Shida yangu kuwa. Ikiwa seller kwenye ebay ame refunded money to ur paypal. Inakuaje hapo ukitaka hela yako irudi kwenye a/c yako ya nbc? Au kwenye a/c ya paypal?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
HP 1000-1B04AU AMD Dual-Core E1-1200, DVDRW Drive, DOS | VillMan Computers
0 Reactions
1 Replies
662 Views
WAkuu nimeletewa HDD ambayo imefungwa (encrypted) na aliyeileta haelewi chochote..naombeni msaada je kuna njia yoyote ya kuifungua encrypted hdd bila kutumia password zilizotumika kuifunga? maana...
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Nimeikuta hii laptop maeneo ya posta nmeangalia specification zake hasa hii processor yake naona kama inanipa mashaka kidogo,, nisaidieni wakuu specification hiz hapa niambien ninunue au niachane...
0 Reactions
0 Replies
783 Views
habari zenu wakuu..naombeni msaada wa kudownload Istagram kwenye sim aina ya android vodafone 845..nimejaribu lakini nimeshindwa.
0 Reactions
1 Replies
872 Views
Naomben msaada kwa wale wanaoweza ku unlock simu aina ya huawei Y300 bas wanisaidie
0 Reactions
0 Replies
497 Views
Wanajamvi wataalam naomba mnijuze kuhusu hizi sim zetu za kisasa kama iphone 4 zina uwezo mkubwa kuingiza sauti zenye ubora kama aina nyingine za viingiza sauti kama sony voice recorder nk. hii ni...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Msaada wadau natumia samsung note lite shv-e160l lakn toka ninunue texts znaingia bila namba zote na znajisave ktk thread moja named no caller id as if namba hazjasevia.....na siwez kujibu hzo...
0 Reactions
4 Replies
754 Views
Hello, kama Kuna mtaalam wa application development in android platform Naomba anijulishe either kwa PM or anitumie email at jessenmutta@gmail.com, nina tatizo la kuaretrieve data from mysql...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Wapendwa za usiku Nimegundua sina access na email yangu tena na ni email address ninayotumia kwenye mambo muhimu nimejaribu ku sign in inanijibu email disable naomba msaada
0 Reactions
2 Replies
956 Views
WIMBI LA KUIBIWA PASSWORD ZA FACEBOOK ACCOUNTS NA KUTUMIKA KATIKA UTAPELI LASHIKA KASI, SOMA HAPA USIJE IBIWA!! Jamani kuweni makini na Accounts zenu za Facebook kwani siku hizi kumeibuka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom