Waungwana,
Salaaammm kwa wingi.
Naulizia kwa mwenye taarifa mahali mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania ambapo wanafundisha Certified
Information Systems Audit (CISA) kama Reviw Class au vinginevyo...
DAH! KWELI WAZUNGU NOMA, TAZAMA HII NDEGE ISIYO NA RUBANI INAVYOTUMIKA KUSIMAMIA MITIHANI
Ndege isiyo na rubani (drone) yatumika kusimamia mitihani
Shule moja ya nchi Ubelgiji imeamua kutumia...
wakuu natumia BB 9900,.
Naombeni msaada wenu ni jinsi gani naweza kutumia Megabytes ninazopewa kutokana na bundle za kawaida ninazonunua tofauti na kujiunga na special bundle kwa ajili ya...
Habari zenu wana jamvi kuna mtu anauza samsung pocket for Tshs 120000/= na ace for Tshs 170.000/= nkizilinganisha sifa nkilingaanisha sifa ktk procesor na memory POCKET MKUBWA SIJAJUA kwann bei ya...
habari wataalam....
heshima kwenu.....
wadau kwa kweli hii desktopyangu sasa inanipa hasira sana karibu niibwage chini..
inamatatizo yafuatayo..
1. haifungui website ya google, inaniandikia...
Salaam wakuu.
Laptop yangu ina parttion 4,drive C nimewka OS ya W7,D na documents E nimeformat nataka kuistall window server ila nikifika sehemu ya kuchagua drive yakuistall naziona drive Can D...
Katika chat chat na watu nimekutana kuna watu wana Line 079****** nikawa nawauliza ni mtandao gani huu ndo wakanambia ni BOL wakasema wana promotion za kufa mtu e.g unapakua freely apps kutoka...
Wakuu pc yangu ilikuwa inaonesh herufi ndogo sana kwenye screen, kwahyo nkaamua kuifanyia setting,
Nikaenda kwenye properties nkafanya marekebisho kidogo, nkaona nikapata ujumbe fulani kama ni...
Wakuu naomba mtu anaweza akanisaidia kupata link ya kudownload hiyo program ya AutoCAD ya mwaka 2009 english version kwa ajili ya 64 bit kwenye windows 7, nimejaribu angalia naona kila mahali ipo...
Wakubu naomba kujuzwa ni kwa gharama gani na wapi naweza pata solar system + inverter itakayoweza kuzalisha umeme kwa ajili ya matumizi kwenye nyumba yenye vifaa vifuatavyo: 1 deep freezer; 1...
heshima zenu wakuu simu changu ina tatizo la kushika 3g nimeshaipeleka vd tigo wote wameshindwa tatua tatizo mwengine kanambia itakuwa imekosewa kiwandani ila ukikaa mda flan inadisplay g na line...
Wadau naomba msaada wenu jinsi ya kuanclock simu ya Huawei U8100. kwa sasa baada ya kujaribu kuweka unlock key imelock na inatoa hii message "SIMLOCK block unlock reset KEY" na IMEI yake ni...
Computer ya kwangu ni Dell Latitude naipenda sana jamani tangu 2007 ninayo na haijawahi kunisumbua kwa lolote mpaka jana ndo nimeshangaa kweli.
tatizo haipitishi chag wala kuserve moto..adaptor...
$2,400 Introduction to Linux course will be free and online this summer
Earlier this week, The Linux Foundation announced that it would be working with edX, a non-profit online learning site...
KENYA IMETAJWA KAMA NCHI YA NNE KATI YA KUMI ZENYE MATUMIZI MAKUBWA YA INTERNET, SOMA ZAIDI HAPA
Internet access has yet to reach more than 50% of Africans, but the continents connectivity...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.