Wakuu salaam:
Wakuu,laptop yangu ina partion nne (4) Drive(C) niwemeka OS ya W7,D kuna documents E iko empty na ndiko ninakotaka kuistall Wserver2008 then G pia ina doc,Tatizo linakuja pale...
Habarini wana jamvi
Nataka kuja Dar miongoni mwa mambo
yanayonileta huko ni kununua smartphone
original yenye Memory ya GB 8 na kuendelea
OS iwe android 4.1 version
camera 8pixes
Fedha...
Wadau huu ni ushauri tuu kwa wale ambao wanajiheshimu na kuheshimiwa na Wanajielewa na Kueleweka!
.
2go ni Chatting Space inayo jumuisha watu tofauti tofauti.....
.
Lakini nnacho kizungumzia...
wakati nikiwa na nokia 6700 nilikuwa naweza kusoma magazeti kupitia operamin lakini sasa nina nokia asha 311 operamin yake haiwezi kusoma magazeti' naomba kufundishwa wanajf asante.
wakati nikiwa na nokia 6700 nilikuwa naweza kusoma magazeti kupitia operamin lakini sasa nina nokia asha operamin yake haiwezi kusoma magazeti' naomba kufundishwa wanajf asante.
Lectures nzuri sana kutoka katika vyuo mbalimbali duniani hua zipo online, as Tanzania siku hizi inazidi kudevelop katika swala la Internet, nadhani ni muda mzuri kutumia nafasi hii katika elimu...
Wadau natumia pc ya dell gx 520, windows xp.
Nlitaka kurekodi sauti wakati naimba nimechomeka mic kwenye pc nikatumia Adobe addition kurekoti nlipomaliza nikaplay ile sauti imesikika vizuri...
Jamani nimeibiwa simu yangu Iringa nilikua nikitokea mbeya sasa leo imeniletea picha kwenye email yangu ya gmail kwamba kuna picha imepigwa na picha ya huyo mwizi ni hii apo je nifanyaje kumpata...
fungua waptrick.com, kisha install "UC browser" halafu ukishaihamisha kama application kwenye java..,ifungue kisha nenda kwenye app centre, tafuta "mobile useful tools" select halafu utaona...
Wadau habari zenu, natumia android aina ya huawei ascend.. nimejalibu kublock namba ya mtu asiwe ananipata akinipigia nimeshindwa. naomba msaada wenu wadau..
Msaada wadau kwa wanaotumia king'amuzi cha continental malipo ya channel huwa yanafanyika wap? havna smartcard bt sometimes vinaandika insert smartcard,
Natafuta Laptop iliyo katika hali nzuri sana, processor core i3 au zaidi. Budget 500,000/= malipo leo leo kama mzigo upo vizuri. 0716-904626, nipo Arusha!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.