Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naweza kuplay football game kwenye pc machine? Ni kwa vp ? Mwenye uelewa anisaidie maana nimemnunulia mwanangu pc na anataka footbal game Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
0 Reactions
4 Replies
965 Views
Wadau anayejua tujulishana,toka jana jioni station za ITV,EATV na CAPITAL hazipatikani kwenye dish kuna shida gani? Anayejua asifanye choyo atujulisha tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Tafadhali kama unahitaji huduma hii wasiliana kwa namba 0682295752 kwa wale mlioko Dar mtaweza kuonana na mtaalamu ila wale wa mikoani mtatumiwa CODE baada ya kufanya malipo.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Did you know your IP address is exposed every time you visit a website? Your IP address is your online identity and could be used by hackers to break into your computer, steal personal...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
habari wakuu, nipo katika mpango wa kuvuta galaxy s3.s4 au note 3 used.....issue ni kuwa specifications nazifahamu but sijui jinsi ya kuzicheki kwnu simu zaidi ya ile *@0...!! ntawezaje kujua kama...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
jamani,Pdf ipi ni nzuri kwenye simu yangu hii nokia asha 311?msinichoke wakuu.
0 Reactions
4 Replies
777 Views
wadau mwenye utaalam wa ku unlock hiz simu mpya za huawei U8650.znauzwa tigo na znaingia line ya tigo pekeyake
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada ndugu nilikuwa natumia laptop umeme ukakatika nikazima ulivyorudi nimewasha naona inaniambia locked afu Ina weka rangi Kama blue Flani natumia dell na ni window 8 version ni latitude...
0 Reactions
4 Replies
760 Views
Nakumbumbuka kama wiki tatu au nne zilizopita niliomba ushauri baada ya rafiki yangu kuniambia anaweza kuniuzia samsung tab 2 kwa laki nne, nashukuru wote walionishauri, sasa rafiki yangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
With the support of the Bill & Melinda Gates Foundation, InterMedia conducted a year-long tracking study to understand mobile money awareness, use, and the drivers and barriers to mobile money's...
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Natafuta kudownload torrents na mafaili yenye space kubwa kama 1gb na kuendelea kinachonikwamisha ni internet speed nmeshatumia modem zote za bongo yn voda,tigo,zantel,airtel na ttcl ila bado...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
WANA JF,SALAAM Naomba mnisadie namna ya kupata foldes zilizojifica ktk flash naona files tu folders sizioni ila flash inaonesa imejaa,Nawasubiri na asanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu kumekuwa na mijadala mingi hasa kuhusu magari Kama vile aina za engine za magari hasa topic za D4 na VVTi engines, Kwa kuwa wengi wetu ni watumiaji tuu ni matumaini yangu hapa jamii forum...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wana tech,please help me of what i have titled above.
0 Reactions
0 Replies
713 Views
habari wataalamu...nimejaribu kuunganisha laptop yangu kwenye projector kutumia cable ya VGA nipate display kwenye projector nimeshndwa...kuna kitu kingne nachotakiwa kufanya? msaada wadau
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Naomba mwenye ufahamu wa hiyo taasisi anisaidie mawasiliano ya yeyote aliyepo pale.
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Wakubwa naomba msaada wenu sim yangu tecno n3 imejiloki inaonyesha nimechomeka earphone wakati sijaplug headphone nifanyaje?
0 Reactions
2 Replies
790 Views
Hi guyz! jamani kwa anayejua nawezaje kurudisha picha zilizofutika baada ya kuformert Memory card ya camera kwa bahati mbaya. NATANGUIZA SHUKRANI
0 Reactions
3 Replies
1K Views
natafuta programu ya kuedit document ya pdf,mwenye nayo tafadhali anisaidie.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom