Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
WANA JF,SALAAM Naomba mnisadie namna ya kupata foldes zilizojifica ktk flash naona files tu folders sizioni ila flash inaonesa imejaa,Nawasubiri na asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa yeyote mwenye kuhusika tupeane hizo info! kwa bei inayoeleweka$
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Laptop yangu ina matatizo ya processor kupiga kelele na kuchemka nifanye nini?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Watu wamekuwa wakiniomba michoro ya amplifier kubwa,ila kila nikiwapa,wanasema "kubwa zaidi ya hii huna?" Sasa nimeona bora nikate kiu kwa watu hao wasio tosheka na nguvu yeyote ya power...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Heshima zenu wakuu. Nakuja leo kuomba maelekezo kwenu mliobobea katika maswala ya teknolojia. Mie nina simu Tecno M7 ina mwezi 1 tu toka upya. Juzi imeanza kujiwasha GPS nikipiga Simu kwa line ya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari wakuu, naomba kufahamishwa kama ni kweli utaua betri la laptop mapema iwapo utatumia laptop kwa kuunganisha kwenye umeme wakati huo huo betri la hiyo laptop limejaa asilimia 100 ?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ndugu zangu wana jf, mie nina simu aina ya blackbery 9780 na ningependa kutumia katika internet lakini nachemka namna ya kuunganisha, nawaombeni mnitoe porini ili nije barabarani tafadharini sana.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
UKiwa na MI FI ROUTER ya SMILE, · utaweza kuunganisha 8 devices ambazo ni Wi fi enabled kwa umbali wa mita 10. · Kifaa hiki hukaa na chaji kwa muda zaidi ya masaa 8 na...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
wakuu nimezunguka kariakoo maduka karibu yote ya computer hawana hizo cable..naombeni msaada wapi ntaweza kuipata hii cable....
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Jamani wana jf king'amuzi gani iko poa kati ya zuku na startimes.
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza....bei 800000/= na maongezi yapo Details za simu ni kama ifutavyo GENERAL2G NetworkGSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G NetworkHSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100 4G...
0 Reactions
1 Replies
672 Views
Over the past few months, various phone companies have unveiled "ultra-secure" smartphones, ostensibly in response to growing concerns about digital privacy in the wake of allegations from...
1 Reactions
1 Replies
818 Views
Habari wana jf,nimenunua dstv decorder nje ya Tanzania,naomba kujuzwa ili kukitumia ni lazima ninunue na dish la dstv ama naweza funga dish lolote?,naomba kujuzwa pia ni dish lipi zuri ama bora...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hayahayahaya....twende... What Happens...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
NDUGU ZANGU NAPENDA SANA KUTUMIA SQL KATIKA KUIMPLEMENT Database naomba msaada software ninayo niko vizuri kwa kutumia Ms Access
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mtaani kuna cd zinasambaa zinaelezea movement za freemason na mbinu ya kutawala dunia na kucontrol wanadam wote. Wametengeneza microcheap ndogo inayowekwa kwenye kidonge ili unapomeza kidonge...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Wadau ku surrender kaisha kubali sawa nae kaamia android.... Japokuwa haeleweki.... Ni Anti-playstore sawa . Jeuri bado anayo anajifanya hataki kuingia Google Cloud sawa.... . Lakini haya...
0 Reactions
43 Replies
7K Views
NI SIKU NYINGI NAJIULIZA MWENYEWE NAKOSA MAJIBU IVI MAPROGRAMMER WANAZILINK VIPI ZILE PROGRAM WANAZOZIANDIKA NA MTANDAO YAANI MFANO PROGRAM YA BENK (ITM) YA KUTOA NA KUAMBIWA KIASI ULICHOTOA NA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za kazi wakuu wa Jukwaa hili! Ninaombeni msaada wadau! Nina Blackberry playbook yangu imepasuka screen yake, msaada kwa ajuaye namna au sehemu yoyote hapa Tz ya kupata screen mpya pamoja na...
0 Reactions
3 Replies
982 Views
nimejaribu kuinstall jamiifo rum kwenye simu yangu kuna neno ambalo nashindwa kutambua neno lenyewe hili !you don't have any devices nimejaribu mara tatu simu yangu ni nokia asha311 naomba...
0 Reactions
4 Replies
719 Views
Back
Top Bottom