Wakuu, naomba nianze kwa kuuliza swali kuhusu hizi smart Tv, mfano, Nina pesa za kutosha kununua aina yoyote ya TV, swali ni je ninunue smart Tv au niifanye TV yangu smart kwa kutumia smart BluRay...
Tangu juzi kila nikijaribu kuunga wajanja night
majibu ninayopewa ni kwamba salio langu halitoshi.
Nimejaribu kuweka 1000 majibu yamekuwa ni hayo hayo.
je tatizo hili ni kwangu au na kwa wengine...
New threat to ozone layer identified
March 9, 2014 21:09
By Matt McGrath
Environment correspondent, BBC News
Dealing with the hole in the ozone layer has been one of the most successful...
Salaam Buddies!!!!!!!!!
Natumia HTC ONE na haijawahi kunisumbua ata kidogo ila tangu majuz Nikitaka kudownload app yoyote ile kwenye Playstore inagoma na kuniletea sms hii
ATTENTION
A NETWORK...
Wadau natumia simu tajwa hapo juu original.
Sasa nimekwama kitu kimoja muhimu sana kwangu. Mara zote nimekuwa nikitumia option zilizopo kwenye menu button ku save profile pictures za wadau...
Kuna mahali nimeiona
How To Recharge Mobile Without Electricity
How to recharage mobile without Electricity
1- Open your mobile cover
2- Take out your battery
3- Take two to three...
Wakuu kuna hizi simu zinazouzwa na Tigo, huawei ascend y200 na y300, zinatumia line moja tu ya tigo, je kuna maujanja gani ya kuziunlock ili ziwe zinatumia line zote?? thanx
Habari wakuu,Nina techno phantom a+ IPA imeanza Kuwait name tatizo La kujizima yenyewe ghafla ninapotumia,au kioo kuwa Giza mpk nitoe battery name kuiwasha upya.
Nimejaribu factor reset lakini...
Wanajukwaa naomba msaada wenu iPhone 4 imejizma ghafla tu haiwaki!! Kwa mwenye Utaalam wa kujua tatzo ni nin au Kuwajua mafund wazur anisaidie please!!
Naimiss sana jf kwa kwel
Mimi nahitaji kufuta kabisa akaunti ya facebook jumla isiwepo kabisa lakini sioni sehemu ya kufutia akaunti ya facebook.nauliza kama nataka kufuta kabisa akaunti ya facebook nifanyaje?
Wakuu ninatumia simu aina ya Tecno M5 ila imekuwa ukisumbua kwenye battery, haikai na chaji kwa mda mrefu maximum 1.5 days! Nimejaribu kutafuta beattery kwenye maduka lakini sijafanikiwa kupata...
nahitaji kununua laptop sio nyingi lakini tatizo sijajua laptop ipi ni nzur na bora kuliko nyingine.
Consideration;
Battery, Rom, Ram, webcam, etc
Please nahitaji ushauri wako..
Nawasilisha.
Nimenunua Anti-virus aina ya Kaspersky 2014 Internet security (3-user), Nimeinstall . Cha ajabu nilipo-apdate imechukua muda mrefu sana mwisho inaniandikia ujumbe huu 'Data base are out of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.