Nimenunua receiver/ decoder ya QSat q 15 g nilifanikiwa kupata channel zote dstv na FTA za bongo za IPPmedia na zile za kichina. Siku tatu baadaye kuanzia 14th Feb,2014 kikaanza kukata. Ukiingia...
Ndugu zangu hii simu ukipiga inatokea alama ya head set na mishale miwili, sasa ukimpigia mtu unasikia beep tu, vivyo hivyo mtu akikupigia ukipokea vinatokea msaada jamani
Wakuu Kuna watu wengine humu hatuna acces za kompyuta so tunatumia cm ...sasa nilikuwa naomba kupatiwa elimu khs ku download movie kwa kutumia cm je movie kwa kawaida huwa zina ukubwa kiasi kwa...
wadau hbr...naomba kuuliza hatua za kufuata ili niunganishe huduma za cable television kwny projector yaan ntumie projector badala ya tv yangu...nko dodoma, ntashukuru kwa msaada
Unaweza kuangalia mechi za ligi zote kubwa kupitia laptop yako. Cha muhimu ni kuwa na reliable internet connection. Just visit wiziwig.tv and Enjoy!!!!
Wasalaamu wazee wa jamvi?
Ukiingia kwenye simu sehemu ya nyimbo music,sasa problem ipo hapa,ukirushiwa nyimbo ikaingia kwenye simu ikionekana kwenye ile list ya nyimbo tu baada ya mda inabeba...
Windows 8.1.1
The world waits in breathless anticipation for the next version of Windows, but in the meantime, were getting a little Windows 8.1 tweaksometime in the next few months. This...
Windows 8.1 Update 1 is expected to be launched in April and according to a new round of rumors, the new product has recently reached RTM so its already ready to be shipped to users.
Windows...
Hi wana JF,
Yeyote mwenye utalaam wa ku unlock iphone 5 using R-sim9 pro anipe techniques coz kama inanizingua hivi halafu siielewi... tried to ready but stil napigwa chenga...
Sakiti hii ni kama zile za wachina ambazo wanaandika maneno mbalimbali kama vile WELCOME,BARBERS n.k
Si lazima uandike hivyo unaweza ukaandika chochte kutokana na mpandilio wa LED zako,Mfano jina...
nimenunua galaxy s4 ni mpya nimeweka interned imekubali vizuri sana na kwenye browser ya kawaila kama opera inafungua vizuri sana.
tatizo kuu linalonikabili ni pale ninapotaka kufungua vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.