.
.
Recently first Android Nokia X has been
hacked by Spanish developer named Kasha
Malaga.
Kasha rooted the phone and able to force
accept the Googles apps and services to
Nokia X , he...
Habari,kwanza natoa shukrani kwa kunishaur juu ya ununuzi wa Wa simu,namshukuru Mungu kaniwezesha nimenunua NOKIA LUMIA 520,.
Kiukweli nimeshindwa kuunganisha internet na nnatumia line...
My tecno natumia ni miez 2 sasa but nna siku kama tano imekua nzito xana kufungua internet esp, fb na Jf xo cjajua ni tatizo la simu au mtandao natumia voda, hlp me please!
Nimesikia habari kuwa Facebook wamenunua WhatsApp kwa $19b. Kwa wenye ufahamu naomba mnijuze how do they make money out of that ksbu huwa tunadownload whatsapp bure na sijaona adverts pia ktk...
Kuna mtu ana s4 galaxy,
Nimefanya test ya sensor kwa *#0*# navyenginevyo inakubali,but nyuma imeandikwa made in china,je kuna mwelewa wa hizi s4,nitaijuaje kama ya orginal,
Msaada please
Wakuu hii game nashindwa kuelewa ina kitu gani so special. Nimekua nikiona matangazo kuhusu uuzaji wa iPad na iPhone zenye hii game mpk $10,000. Hivi kuna nini kwa hii game Flappy bird, tafadhali...
Wana JF msaada kidogo hapa kwa anaefaham kidog mambo ya cm,
Cm yangu Galax S GT19000 inashida ya kuganda(stuck) nnapokua naitumia na wakati mwingine kuzma na kuwaka yenyewe laknini had inapokua...
jamani kuuliza sio ujinga hivi hii version ya Dreamweaver cs6 key zake zinaingiliana na software zote za dw sc 6 yenye ...kama ni ndivyo naomba aliyenazo key za adobe dreamweaver cs6 anisaidia...
Simply typing chrome://settings/
passwords into the browsers
address box reveals a
comprehensive list of the users
login details, with any computer user
able to click a show button to reveal...
wakuu mwenye utalaam wa torroid transfoma anisaidie, maana nimeitumia ktk amplifier yangu ndan ya wik 1 tu lakin sasa haitoi output zake, lakn ukipima ohms zipo poa, asa nashindwa kuielewa...
Waungwana nisaidieni wapi naweza pata huduma ya warranty kwa tv yangu aina ya samsung LED tv smart nimeinunua Iraq mwezi jana ikawa kwenye box mpaka nafika hapa ile kufungua nakuta kio kimepasuka...
Hallo wana JF.
Naomba Mnyumbulisho kwa anayefahamu Ubora na Upigaji kazi(Jembe) kati ya hizi Simu Mbili hapa(LG G2 Vs Samsung Galaxy Note 3)
Kuna jamaa fundi Simu, yeye anaclaim kuwa LG G2...
Habari za usiku wakuu..!!
Nahitaji simu used aina ya samsung galaxy s3.
#mimi nitakupa tsh Laki mbili (200,000) pamoja na Simu ya BlackBerry Bold 9780 (white),ipo in good condition..haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.