Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Whatsapp was recently acquired by Facebook in a record USD19billion deal and looks like we are starting to have fruits of the deal already. Whatsapp had a small panel at the MWC 2014 and they...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii imenisaidia,I hope it helps you too Laptops tend to lose their charm quickly when you’re constantly looking for the nearest power outlet to charge up. utafanyaje ili battery yako iweze...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi. Samahani naomba kwa anayefahamu jinsi ya kuongeza salio kwenye akaunti ya kisimbusi cha azam anijuze. Vipi nambari ya akaunti inakuwa ipi...ya kadi au ya kisimbusi...
0 Reactions
0 Replies
634 Views
asubuhi tumeshuhudia chief-mkwawa akituletea uzi kuhusu nokia x na ndugu zake ambao wamezinduliwa leo, kabla siku haijaisha tayari samsung galaxy s5 tuliyokuwa tunaisubiri kwa hamu imefika kwa...
1 Reactions
117 Replies
15K Views
tunakubaliana kua siku moja tutafika hapa
0 Reactions
2 Replies
784 Views
Nahitaji kujua kwa aliyewahi tumia hii printer kuhusu ubora wa picha zake na mengineyo, na pia upatikanaji wa catridge zake ambazo namba zake ni 564 na bei za hzo catridge.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nani anajua nifanye nini ili ni-activate tena antivirus yangu
0 Reactions
1 Replies
627 Views
Natafuta programu itakayoniwezesha kuchora,mfano katuni moja kwa moja kwa kutumia kompyuta. mwenye kuijua anijuze wapi naweza ipata. natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wakuu nimenunua modem ya tigo, laini iko active, lakini haikubali kuunganishwa na internet inasema the connection was terminated by a remote compyuta, je tatizo ni nini? Naomba anayejua...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
kila nikijaribu kudownload bet awards 2011 nashindwa kabsa, naomba msaada wenu hasa kama ntapata link au ntadowload vp kwa torrent? ntumia galaxy tab 2.....android 4.0
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa yeyote anayo ambayo ni cracked plzz anisaidie ..!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wanajamvi! Naomba msaada wa jinsi ya kuunga net kwenye simu tajwa hapo juu. Natanguliza shukrani nyingi sana kwenu wana jf!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
. Wadau laptop tajwa hapo juu... SAMASUNG NP300E5X NAWEZAJE KUPATA DISPLAY YAKE na kawa BEI GANI msaada tafadhali mana ilianza kama kucholaa kimstari cha njano kati kati baadae ikadodondoshwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu ambao walikuwa wanataka bbm katika android zao ila hawakufanikiwa coz ilikuwa ina support ktk android version inayoanzia na, sasa kitu linapatikana hata chini ya hapo. Hata...
0 Reactions
2 Replies
918 Views
Wadau natafuta mtu mwenye simu aina ya Sony Xperia Z1 ya dili, kiwango chanu ni 600,000 Tsh. Ni pm kama unayo ama unajua nitaweza ipata wapi.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ya laptop yangu nio shi ngapi/??
0 Reactions
1 Replies
739 Views
Malalamiko nchi hii yamezidi hasa kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na service providers wetu. Kila siku utasikia hapa mtandaoni mara tigo, mara airtel, mara voda, mara star times, mara ITV...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnisaidie nina Sumsung Galaxy S3 mpya inagoma kwenye Internet Connection Setting,msaada please!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau naomba kufahamishwa c/c++ compiler ya windows ambayo itasupport socket programming in windows. nilijaribu kuinstall cygwin na msys(Unix-like environment and command-line interface for...
0 Reactions
5 Replies
829 Views
Ndugu wanajamvi jukwaa hili limekuwa ni msaada sana kwangu kwenye mambo mengi Naitaji maoni na ushauri wenu juu ya hili Kwasasa natumia SAMSUNG GALAXY ACE(5830i) ila ningependa kuadvance zaidi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom