Heshima mbele wakuu naomba mwenye kufahamu mahli ambapo wana Print mabango makubwa kwa biashara yaan i mean bango hata lenye ukubwa wa kuanzia 90 inch * 6o inch nataka kuweka kwenye biashara...
Wana jamvi Habari za asubuhi.
Nina simu aina ya Huawei lakini tatizo ni kwamba hai download picture, nyimbo au hata video. Inadai memory full lakini Nina memory ya 4gd na bado haijajaa. Pia siwezi...
Habari wadau nina simu yangu nokia asha 202 imestack kwenye touch simu na meseji zinaingia kama kawaida ila siwezi ku unlock tatizo linaweza kuwa ni nini msaada tafadhali
Kwa mara kadhaa katika siku za karibuni nimejiunga na kifurushi cha dakika 20 cha Airtel kwenda mitandao yote lakini nimeongea si zaidi ya dakika tatu na simu kukatika kwa maelezo kuwa kifurushi...
wandugu zangu habari za mchana,
Nadhani tunafahamu kuwa mara nyingi kumekuwa kunatokea ugomvi wa mara kwa mara hasa kwa wale wapenzi wenye kupenda kushika simu za wapenzi wao, lengo langu...
Hivi wifi hotspot, za sehemu mbali mbali mfano vyuon, mahotelin n.k, huwa zinalipiwa? (namaanisha hao wanotoa hiyo huduma ya wireless, mf chuo kuna sehemu wanalipia ?)
Wapendwa, hebu nisaidieni. Nina wiki mbili sasa nashindwa kutoa pesa kutoka kwenye simu yangu kwa njia ya Airtel Money. Hata kuitoa kwa njia ya kuongeza salio imeshindikana. Inanipa ujumbe...
wadau nataka kununu galax s4 clone ila sina uelewa wa kutosha hasa kuhusu ubora na mapungufu yake. Najua kuliwahi kuwa na hyo mada wakati ule chief mkwawa aliposema anaziuza,ila nimejaribu...
Ninatumia tapatalk v4.3.4 na niliona kuna mtu anapost kwenye hili jukwaa kwa kutumia tapatalk,nimejaribu kulitafuta hili jukwaa kupitia tapatalk ila sijalipata,kwa anaejua anisaidie.
Katika maonesho ya vifaa vya mawasiliano ya mkononi hasa feature phones, smartphones na tablets yanayoendelea huko Barcelona, Global Mobile Awards ambayo huandaliwa na The GSM Association...
Direct kwenye mada. Nina ipad yangu nataka kuiuza baada ya kupata kitu kipya. Nawezaje kuiflash bila password maana nimeisahau, na kwa kuwa mara nyingi nilikuwa siitumii. Kwa wale wenye ipad...
Salama wakuu. Mimi ni mdau mzuri wa jukwaa hili, kwani najifunza mambo mengi. Leo nina jambo linalohusiana na ram za simu. Mfano mimi natumia S duos 7562, lakini siku hizi za karibuni imekuwa...
Habari wapendwa..please nisaidieni..nina Samsung galaxy nexus..inajirestart kila baada ya few minutes..inaeza kua na shida gani???fundi kaiformart wapii
Kafungua kasema haoni tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.