Wadau naomba mnisaidie kunifahamisha ktk hili.
1. What is mikrotik server.
2.Commonly uses of mikrotik server.
3.difference between mikrotik server and window servers.
4.how it works.
Wadau naomba mnisaidie maswali haya
1.what is mikrotik server.
2.how does it works.
3.difference between mikrotik server & window server.
4.Mostly common uses of mikrotik server.
Habari zenu wakuu!
Nina laptop yangu aina ya Samsung spec. zake ni 1.7ghz,2gb ram,300gb HDD imekuja na windows 8 nataka niiuninstall window 8 niweke window 7 coz windows 8 co userfriend...
MKO POA WAKUU?
Samahani ninahitaji kuinstall spss 16 kwenye mac yangu. spss nimeidownload torrent na imekuja na keygen lakini keygen hiyo inafanya kwa Windows tu. so i need keys kama kuna yeyote...
MADHARA YA SIMU ZA MKONONI
MIONZI ya simu za mkononi inaweza kuathiri maendeleo ya ubongo wa watoto walioko tumboni mwa mama zao, utafiti umeeleza.Utafiti huo umetaja madhara mengine ya mionzi ya...
Wakuu naomba utaalamu wa kumaliza tatizo la sim yangu ni kwamba inaonyesha headphones zipo connected kwenye simu wakati sijaziconnect hivyo siwezi kupiga simu wala kupokea mpk niweke headphone...
Heshima mbele wana jamvi !!
Nina galaxy SIII nilikuwa naitumia vizuri tu ila kuanzia jana ikawa ina stack basi nikaona isiwe tabu nika reset loh !!
ile kuwaka tu inaniandikia sim network unlock...
DEVELOPING STORY: Kenyas Safaricom to Disrupt Mobile Payments Afresh|Plans to Deploy NFC SIM Cards Countrywide Sam Wakoba | Friday, March 14th, 2014 at 1:38am | Business...
Wadau kuuliza si ujinga ni kuhitaji kijua tu na kupatiwa ufafanuzi juu juu ya hili.
Facebook ilitangaza kuinunua whatsapp hivi karibuni.
Je baada ya hayo kukamilika , unaraka kuniambia whatsapp...
msaada: mwenye kufahamu application nzuri itakayo faa kwenye android. inayorecord sauti vizuri ya mtu anayenipigia. nimejaribu androrec inarekodi sauti kwa mbaali sana. kiasi kwamba najikuta...
Online Tools and Services
Bonyeza hapa Find your IP address, and what are your browser settings.
bonyeza hapa nslookup : DNS lookup to query a domain name server to look up and find IP...
Nmeiona dukani hapa bei yake kidogo inaridhisha
Sifa zake hizi hapa
Wakuu hebu niambieni kwa hii processor yake inafaa kwa games na movies?
Product Number
D4B70PA
Microprocessor
1.4 GHz AMD...
wakuu msaada katika ishu hii apa,ni kwamba niliweka flash ambayo ia virus katika pc yang na lengo likiwa ni kuiscan then ikaja arlet kutoka window defender inayonihitaj niiscan,then nikaiscan na...
Tovuti ya Chuo cha Uhasibu Tanzania imevamiwa na maharamia wa internet wanaojiita Defaced. Maharamia hao ambao hutumia njia ya kuvamiwa tovuti za nchi mbalimbali na NGOs kwa ajili ya kujitapa...
Hallo WanaJF.
Naombeni Ushauri. Nimekuwa mteja addicted wa EasyTV tokea 2009. Lakini kwa sasa kutokana kuwa wamenyang'anywa kurusha Channel kama ITV/EATV/StarTV, Ninataka kuhamia Azam Tv kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.