Wakuu,
Nimelipia Dstv decoder ikiwa imezimwa, nilipoiwasha ikawa haiko activated...naomba msaada kama kuna jinsi ya kufanya maana niko mbali na ofisi zao. Na nikiwapigia namba yao haipatikani...
Nuclear Fusion Just Got a Little Closer to
Becoming a Reality
Atomic fusion could produce limitless
energybut scientists haven't been able to
harness it. But a novel experiment suggests
it...
naomba msaada mwenye kujua sipati picha tatizo lilianza nilipobadili line ya simu nikiwasha inaandika netwek saccses lakin picha inagoma msaada wenu tafazali nimesubili kwa dk 20 chanell...
Habari wana jf,ukiacha DSTV,kuna chaneli zozote zinazoonesha ligi za mpira wa miguu za uingereza,hispania,italia nk? kama zipo naomba kujuzwa namna ya upatikanaji pamoja na gharama zake.
Flappy Bird game withdrawn by developer
10 February 2014 Last updated at 22:14
GMT
The maker of a hit game for mobile phones
has shocked users by withdrawing it
despite claiming it was...
Wandugu habari za leo.?
Nimeona nishare ideas na ninyi wote:
Wiki iliyopita nilifunga Internet ya smile ofisini kwangu, na kupata 10GB kama kifurushi cha kuanzia lakini ndani ya siku 3 tu,nikaona...
Hii tablet imenitoa ushamba.inataka niingize password za Network SSID ambazo sijui. natumia airtel naomba mnikwamue wajuzi. Kupiga na kupokea simu inafanya lakini kwenye settings za net inabaki...
Habari wadau! Ninatumia Laptop ya Dell Latitude E5530, 32Bit OS 4GB RAM.
Wakati fulani ilikuwa na tatizo nikaamua kui-format Window yote na kuweka Window 7 Proff. Shida niliyonayo sasa baada ya...
Hii simu imenunuliwa nje na ilikuwa inatumika kabla ya kuletwa hapa Tanzania. Cha ajabu haikubali mitandao ya kibongo. Yaani ukiingiza line yoyote ile, iwe ya airtel, tigo au voda network...
ndugu zangu wana jf nina simu aina ya nokia X2-00,tatizo ni kila nikitaka kudownload apps kama twitter, ovi store inaniandikia "conflicting application?show item" na tatizo lilianza punde...
nina Tablet ya kichina.android v4.Imejilock password na nikijaribu kufungua haitaki.nimejaribu hard reset zote aitaki.je kuna njia ya kuiformat na kuinstall android os mpya.au kuna njia ya kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.