wanajamvi naomba msaada kwa yeyote anaeweza nisaidia jinsi ya kufungua simu yangu ya tecno kila nikiwasha inataka phone password kuna dogo alikuwa anatumia kaweka password ambazo hata yeye...
Web performance and security firm CloudFlare said late Monday that a customer running on its platform was hit with a massive DDoS attack today that affected service in much of Europe and then into...
Habar zenu wataalam, jamani tatizo langu ni moja blackberry yang haitaki ku-connect internet kwenye browser yenyewe ya sim nkjaribu inanipa notification kama hii "unable to connect to the...
Wana jamvi kuseme kweli nipo chini ya miguuyenu nikiwaelezea matatizo yangu;;mimi natumia simu aina ya "nokia 2730"simu hiyo imevamiwa na virus ambayo imesababisha uharibifu mkumbwa mno kwani kuna...
Wanajamvi Nawasalimia,
Naomba kwa wataalamu wa masuala ya mobile app, mnisaidie. Nimekuwa nikisaka application ya luninga ambayo naweza kuitumia kwenye either IPAD, IPHONE au kwenye tabs za...
Habari zenu wanajamvi? Kwa kifupi naomba kuuliza kuhusiana na simu tajwa hapo juu.
Ni hivi kuna mtu anataka niuzia (ameitumia yeye/used) kwa laki mbili na nusu hiyo simu. Swali ni kuwa bei hiyo ni...
Habari zenu wakubwa..
Personally, katika soccer games nimeplay fifa tuu n i lov it na sijawah kuzipenda previous PES games wala kuzicheza kwa sababu sikupenda graphics zake n gameplay...
Lakini...
Wadau naomba kujuzwa kuhusu ubora wa zile simu zinazouzwa mitaa ya Posta, Dar(barabarani, siyo dukani), kama kweli ni orijino. Zinauzwa bei chee, hadi laki mbili na nusu. Kwa kuziangalia ni kama...
Nimeona hii Ile feature ya WhatsApp ya kuonesha muda gani ulikuwa online imekaa Kimbea sana hasa kama unataka mtu asijue kama umesoma msg yake ama la.
Kuna very simple trick hapa, Click Here
Kama...
za majukumu wadau. naomba msaada wenu juu ya camera ya mbele ya simu yangu. kila ninaposwitch on front camera inaniletea message "warning camera failed" nikibonyeza ok camera inaswitch off...
Habari wakuu;Najua jambo ambalo mtumia solar yeyote linalo msumbua ni ile hali ya kuwa na limit time katika matumizi ya umeme wake.
Kuna mdau mmoja hapa hapa alisha niuliza kama kuna uwezekano wa...
Salam wanataaluma wa ukurasa huu.
Natanguliza shukurani. Kama ilivyoada jf imekuwa kimbilio langu kila ninapopata tatizo. Nategemea kuwa nitapata msaada
www.coastviewresort.co.tz ni iliyokuwa...
Kwa wale wanaojua viuri friji nzuri kwa matumizi ya nyumbani naomba msaada hapa.
Nafikiria kununua deepfrezer za kufunua juu kuliko hizi za kawaida. Naomba kujua kama kuna faida yoyote nitaipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.