Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za saa hizi wana-JF. Naomba msaada kwa yoyote yule anaejua jinsi ya kununua movie online. Naomba mnielekeze ni procedures gani natakiwa kuzifuata ili niweze kununua movie kwenye mtandao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamii naomba kama kuna mtu anafahamu bei ya simu aina ya ASUS PADFONE INFINITY 2 ahsante
0 Reactions
3 Replies
850 Views
Mwenye Motherboard ya Desktop inayo support pinless Dualcore processor au Pentium iv pinless processor. inayotumia DDR2 au DDR3 ram memory. pia iwe ina support sata. nichek tuongee 0716-844978
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada nimetengeneza form yangu na kuiset kwamba spaces zikiwa hazijajazwa zote idisplay error message infront of hizo spaces ambazo hazijajazwa! Tatizo linakuja kwamba mimi nataka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jaman za jumapil? Naitaji msaada wenu simu Yangu imefutika vitu vyote naitaji kufany backup sijui pakuanzia nisaidieni how to do backup cm Yang ni Vodafone
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada modem yangu haishiki network . pia nikiwa naistall inaingia ikifika katikati inagoma inaanza kurudi nyuma inajiunstall. na endapo itaingia bac ujue haishiki mtandao. model...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nashindwa kabisa kufungua internet kwenye simu yangu ,simu yangu ni samsung galaxy star GT S5282 Inatumia wireless for fidelity(WiFi),ina mwezi mmoja tu na settings kila nikichange inagoma ,hata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, kunasimu zaaina mbili nataka kupatahabari zake moja ni hii nokia asha 305, hivi siwezi ku-upgrade kutoka 2G kuwa 3G? inatumia line ya tigo. nyingine ni Blackberry, nitapataje software ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na maswali mengi, ubishani na maneno kwamba Tecno Phantom A na Samsung Galaxy S4 zinafanana na zina uwezo sawa. Kutokana na hilo, nimeona ni vyema...
22 Reactions
170 Replies
26K Views
Huu ndio muonekano mpya wa Samsung Galaxy S 6 kama ambavyo wajanja wamei likisha mtandaoni na mwaka huu utaingia sokoni rasmi lakini inasubiriwa tu tarehe ya S5 kwanza ambayo ni February 24 mwaka...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Za leo wapendwa, Jamani naombeni msaada, eti mtu anawezaje kufungua kitabu kutumia ISBN no ya kitabu? Mjuzi anijuze jamani. Asanteni :confused:!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
amani iwe nanyi wapendwa wana jf,naomba kujuzwa kwa jambo lifuatalo;hivi kwa mfano mtu kafanya kazi kwa muda mrefu na mafundi umeme wakubwa akiwa kama msaadizi au 'kibarua' wa fundi kama ilivyo...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wakuu, Naomba kuelekezwa namna ya kufanya setting ilinipate kutumia Internet kwene Android yangu,Model yake ni SB-708, Nimejaribu kucopy APN za tecno inafungua ndio lakini ipo slow sana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
. Samsung announced the time and date of its next Unpacked event. . The Korean giant’s next major mobile product announcement will take place this month, on February 24 in Barcelona, right...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Hallo wana JF, Naombeni mnielekeze namna ya ku-Capture screen short kwenye BB yangu. Ntafurahi kama maelekezo yataambatana na picha. Namna na jinsi ya kufanya hilo zoezi. Thanks.
0 Reactions
3 Replies
888 Views
habari zenu wakuu naomba msaada wapi nitapata motherboard ya laptop acer aspire 4520
0 Reactions
1 Replies
626 Views
hivi kuna mtandao ndani ya tanzania hii unaosupport 4G internet nakama hakuna kwanini bac
1 Reactions
43 Replies
5K Views
naomba mnisaidie maana naitamani sana hii alafu kila nkijalibu inakataa
0 Reactions
1 Replies
515 Views
Jaman habar zenu mimi ni fundi wa computa lakn ktk sekta yng nakutana na changamoto mbalimbali ktk kaz yng.mambo yanabadlka kutokana na technology kubadlka naomba tushirikiane na wnzg ktk sekta...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Natumia Techno phantom A, wiki moja nyuma nilikua napata message toka What's app admin ikiniambia kuwa natakiwa ku-update what's app application ili kupata New vision, nikawa nasema nta-update...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom