Habari zenu wanajamvi, katika ununuzi ebay nimekutana na neno hili
Item condition: For parts or not working naomba mnijulishe ina maana gani? Bonyeza hapa uione ebay
Me kwa mara Ya kwanza ndio najiunga kwa jf ila sim yang kama si elew elew vile nashndwa kabsa kupost any sim yang ni samsang gt-2710 plz mwenye kujua tatitzo lipo wap anaweza kunsdia ahsanten sana
Mi ni firstime kuja hapa jf but kuna Tv yangu aina ya samsang 23'f4003 yan nkikonect na dvd player inadisplay black and white picture ila kwa usb na hdmi inakuwa poa je tatitzo itakuwa nin na...
Wadau habari za saa hizi....kichwa cha habari kama kinavyozungumza nauza htc one used kwa 650000/- .nimetumia kama miezi 3 ipo kwenye hali nzuri haijawahi kwenda kwa fundi....sababu ya kuuza...
Wanajukwaa katika zunguka yangu mitandaoni kutafuta Movies, nikakutana na hii site inaitwa youku, yaani ni REAL COPY N PASTE ya youtube, walichobadilisha wao ni lugha tu, HIVI SHERIA YA HAKIMILIKI...
Wakuu, heshima kwenu kwanza
Nahitaji kununua simu, ila kuna vigezo nataka vizingatiwe wakati wa kuinunua, vigezo hivyo ni :
1: OS ya android
2: Iwe na resolution kubwa yaani kuanzia...
jamani wataalam msaada wenu kwa hii kitu,anayefaham jinsi ya kuipata astra 28'e,ninaitaka joy sport,mi nna 6ft eurostar solid dish na receiver ya arisat mpeg4 hd,je naweza kuipata,je dish yake...
Jamani nimechoka na King'amuzi ch Star times na sasa nimekitupa!Je King'amuzi kipi ninunue ambacho hakitasumbua?Ahsanteni
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
We need a compang or agent who is good in ac and generators.our generators is from Italy known as Goff and Zordan.we need for servicing generators.assuring the equipment work perfectly.for more...
Kuna simu yangu ya samsung ninayo model yake ni GT-S7562 duos ilikuwa na matatizo kwamba iliupdate software ikahitaji kurestart ilipomaliza. Baada ya kurestart haikuwaka tena ikawa inaishia...
Niliangusha Nokia Lumia 625 imevunjika kioo. Je naweza kubadilishia kioo na kama inawezekana mwenye information kuhusu mahala wanapotengeneza/badilisha hapa Dsm anisaidie. MSAADA PLEASE.
Thanks in...
habari wana jamii forum wenzangu, nina desktop computer aina ya hp kuanzia jana nikiiwasha inaniandikia OCBYR IS COMPRESSED PRESS CTRL+ALT+DEL TO RESTART. nashindwa kuelewa tatizo ni nini...
nimetumia MediaCom mda mref sana.
leo nimepata WizTech mpeg 4,
dish ft 6 lnb ya local na KU ya nigeria na ile ya kenya.
Tatizo nililonalo ni
MAJINA YA SATELITE ZILIZO NA LNB SIZIONI...
plz husika na kichwa cha habar hapo juu.mwenye nayo naomba mnitumie au hata link yake.google play wameiondoa haipo.@njuvawavoko Paje mwl rtc Mndengereko CHIEF MKWAWA
UBORA
-Ina uwezo wa kubeba simcard mbili
-Ina uwezo wa 3G kwa simcard moja na 2G kwa simcard nyengine
-Touchscreen yake ni capacitive kama ilivyo kwa smartphones nyingi
-OS yake ni Android 4.0 Ice...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.