pc yangu ni hp pavilion g6, nimebadilisha windows mara kadhaa, bt nw inazingua hasa ninapocheza game FIFA, so nataka ku recover to orijinal state(at the time nainunua) nimejaribu lakin nimeshindwa...
Warning: ini_set() has been disabled for security reasons in /home/jamii/public_html/includes/config.php on line 2
Warning: ini_set() has been disabled for security reasons in...
habari za kwenu wanaJF,
Naombeni mnisaidie kujua ni jinsi gani nitaweza ku-uninstall program yangu kwenye windows7 ambayo iko password protected. Program niliyonayo ninayotaka kuitoa inaitwa "USB...
Naomba msaada please, nilikuwa na upgrade Bios System ya laptop Toshiba Satellite A200 series laptop ikazima , toka hapo nikiiwasha inazima nakuwaka tu, inatoa kuja screen "Intouch with Tomorrow''...
MSc Forensic Computing V/S MSc Information Security and Management.
Najiandaa kufanya moja ya kozi hapo juu, kwasababu zinaendana na mahitaji yangu zote mbili.
Napenda kujua ipi ni bora zaidi...
Sijui kama neno utengenezaji litakua sahihi ila ntaassume ukisoma utanielewa.
Genetic Engineering leo, hii field inahusiana na manipulation ya viumbe kwa kutumia biotechnology ambapo DNA ya kiumbe...
Wanajamvi na siku kama ya tano leo internet ya blackberry kwenye line ya Airtel inasumbua sana.Tatizo ni handset yangu au Airtel?
Kuna wanaopata tatizo kama langu kwa watumiaji wa blackberry ya...
Jaman mimi ni member mpya naomba msaada kwa weredi wa mambo haya. Nimetumiwa simu na ndugu yangu lakini kila nikiweka line inaandika sim lock, naweza pata msaada wa namna ya ku unlock? nipo moro...
Natumia Nokia Lumia, naombeni mwenye msaada jins ya kuiset simu yangu ili kioo kisiwe kinalalaa au kurotate pale simu inapokuwa ipo slanted.
Napenda kuitumia sana nikiwa nimelala kitu...
Habari za kwenu,
Naombeni kujua ni vyuo gani vizuri marekani (sio lazima viwe on top) katika kufundisha mambo ya networking and information security kwa level ya masters. Pia viwe kati ya vyuo...
Nimefurahi sana kupata hii miwani kwaajili ya kufanyia upelelezi wangu. Hakuna siri, ukiniona nimeivaa nitakuwa nakamata matukio muhimu. Angalia hii hapa miwani yenyewe hapo chini; a 2nd...
Wadau Heshima kwenu
Jana nimeingia kwenye internet cafe 1 ndani nikakutana na mtu tunafahamiana, huku nikiwa naendelea na huduma niliyopewa,yule bwana akaniletea ujumbe kupitia simu yangu ya...
Heshima kwenu wanajamii.
Nimedownload NFS most wanted 2005 torrent file kwa kutumia u torrent.
Naomba msaada wa hatua za kufuata kukamilisha process nzima ya installation.
ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.