Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tv yangu haina sehem ya kuset Random video playing From flash drive. Ni vipi naweza kuipata hiyo huduma.Mp3 iko poa ila Mp4 zinaplay in order(from a to z) nahitaji zipige randomly ila hio option...
0 Reactions
2 Replies
286 Views
Nina pocket router huwa naitumia katika shughuli zangu, uwezo wa battery yake umeshuka na sasa inakaa masaa mawili ama matatu tu. Nina power bank ina 10000 Mah, nataka niwe naitumia badala ya...
0 Reactions
11 Replies
760 Views
Kwema wakuu, ninaomba kujulishwa namna ya kutatua tatizo hili, ambapo sauti inasikika ila Tv ni blank screen
0 Reactions
37 Replies
2K Views
Nina Laptop mpya aina ya ACER EXTENSA 15. Ilikuja na Windows 11 nikaibadili kuwa Windows 10 Pro. Ninapenda kuscroll kwa kutumia vidole viwili badala ya kutumia Scroll bar lakini hii pc...
0 Reactions
8 Replies
616 Views
  • Question Question
Hili swali nimekuwa nikijiuliza bila kuelewa, nimekuwa nikisikia majibu kama chumvi mbichi na chumvi iliyoiva, sielewi ni namna gani chumvi inaitwa imeiva wakati yenyewe ni kemikali. Tuchukulie...
3 Reactions
7 Replies
617 Views
Wakuu mimi natumia Boksi ya UFI kwa kweli pamoja na sifa mbovu za hili boksi nimefanikiwa kufufua simu kadhaa na kuua simu 2 nikijaribu kutoa MDM nikiwa najifunza na kuamsha simu zilizokufa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu je hapo kati ya simu hizo mbili ipi inafaa kwa matumizi. Na vipi upande wa bei kwa Specifications hizi Ram 6 GB Storage 128 GB
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa miaka 6 kumekuwa na vitu vinaitwa Whatsapp Gb,Yo Whatsapp ,Gb instata na nyinginezo ambazo mtu anatumia na kuweza kupata access ya hiyo.mitandao sema anakuwa anapata vionjo vingi ambavyo...
0 Reactions
9 Replies
803 Views
Habari wakuu kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nime publish app ya blog yangu katika soko la google play store tangu asubuhi lakini mpaka sasa jioni haijakuwa published ipo draft na status yake...
0 Reactions
3 Replies
617 Views
simu ipi bora Infinix Hot 12 Vs Samsung A13. Infinix hot 12 pamoja na Samsung A13 zote zimeachiwa mwaka 2022 Ila miezi tofauti moja ni wa nne nyingine wa tatu zikiwa na mionekano ya kushangaza...
3 Reactions
85 Replies
14K Views
Wadau, kama kuna mtu yeyote humu mwenye specification ya hizi simu janja zinazouzwa na Tigo, almaarufu kama "Kitochi 4G" naomba aniwekee hapa. Maana nimejaribu kugoogle sijafanikiwa. So nataka...
2 Reactions
113 Replies
31K Views
Unahitaji kununua simu mpya lakini kwa bei hiyo hiyo unakutana na simu used yenye uwezo mkubwa zaidi ya mpya. Unabaki njia panda Maamuzi sahihi ni kununua simu mpya na maamuzi sahihi ni kununua...
12 Reactions
47 Replies
11K Views
Habari, Katika jitihada za kufanya Nuru (lugha ya kiprogramu ya Kiswahili) iwe rahisi kutumika, tungependa maoni yenu katika kupendekeza misamiati za programu (programming terminologies)...
2 Reactions
1 Replies
347 Views
Jamani hizi gb WhatsApp leo sizielewi, nadhani ndio ishafungiwa hii ya kwangu na kila nnayoitafuta haitoi majibu mazuri kwenye installation. Tafadhali kama una latest gbwhatsapp antiban version...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari, Eid Mubarak. Nina tatizo kwenye PS4 yangu ni Version 10.01 siyo ya kuchip. Nilienda kununua account ya game nikaweka games nikawa nacheza. Bad news ni kwamba Game ya FIFA23...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimenunua Laptop mpya, cha ajabu ninapoiunga kwenye Hotspot ya simu, niliingia Internet data zinapukutika balaa kuliko ilivyokuwa kwenye Laptop ya zamani! Nini sababu na nafanyaje kuepuka tatizo hili?
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Mwenye kujua password za goodvision 32" anasaidie aisee. TV yangu ghafla toka majuzi nikiiwasha inareta message hii yani zimebaki dk 4 ijizime automatic yenyewe, nilifikiri kuifanyia system...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Guys naomben ushauri insi ya Kutuma text automatic kwa siku tofauti tofauti na kwa watu tofauti...asante
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Hiki hapa naona dunia inakwenda mbali zaidi USSR
2 Reactions
8 Replies
629 Views
Habari wakuu, Nimekuwa interested na kujifunza teknolojia ya kuprint picha na kuziweka kwenye photo frame za mbao kama inavyoonekana hapo pichani. Nimejaribu kuomba kufundishwa na watu...
3 Reactions
29 Replies
17K Views
Back
Top Bottom