Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script? Kama ndiyo wapo wapi...
12 Reactions
128 Replies
6K Views
Nahisi pengine nimedukuliwa akaunti yangu ya Instagram
1 Reactions
6 Replies
556 Views
Habari zenu Jamani,naomba mwenye kujua namna ya kuhack WiFi password a(tu)nielekeze.Ahsanteni.
2 Reactions
28 Replies
10K Views
Habari wanajf. Unaweza ukajifunza jinsi ya kubadilisha makampuni katika Euro Truck simulator 2 na ukaya replace na kubadili muonekano wa trailers pia yakawa ya makampuni ya kitanzania. nimeattach...
13 Reactions
593 Replies
90K Views
Haya ni majanga, sina uhakika ila ikibidi mnisahishe ila niliwahi kuona nchi kama Kenya hapo hizo shule zipo, Huko Rwanda wapo next levels wala si wa kucompare nao. Hivi katika ulimwengu huu...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu, Nimeingia kwenye tovuti ya posta nimeona kuna sehemu wameandika kufungua virtual box. sasa nilikuwa nauliza je, kama nikifungua naweza kupokea mzigo kupitia sanduku hilo? Natanguliza...
1 Reactions
4 Replies
884 Views
Habari zenu wakuu, nimekutana na hii huko Twitter, kwa mwenye uzoefu na tigo je hivi vifurushi vipo kweli?Au ni mtu tu kaamua kujitengenezea graphics? Nilishakuwag na laini yao kipind flan, lakn...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Hello, Naomba msaada WhatsApp yngu imegoma kufanya kazi, kila nikijaribu kuirudisha inadai account is being on a registered new device! Nisaidien niirudishe vipi.
0 Reactions
7 Replies
872 Views
Habari wana Jf, ni matumaini yangu mpo salama, kwa wenye changamoto kidogo za kiafya au zingine zozote, basi Muumba awafanyie wepesi ndugu zangu. Samahanini huenda uzi sijui kuupangilia vizuri...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Siku ya tano hii kila nikijaribu kupakua novel au nyimbo inaandika download failed naombeni MSAADA
0 Reactions
1 Replies
272 Views
Wakuu nahitaji mtu anaeweza ku unlock hii router moja kwa moja iwe inatumia mitandao yote sio kama maelekezo ya youtube inakuwa ina unloked ila ikizima ukawasha inarudi tena locked sasa nataka iwe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji mtaalamu wa ku unlock router ya flanklin 4g lte inayotolewa na kampuni ya smile.
1 Reactions
6 Replies
7K Views
A new artificial intelligence bot aims to destroy humanity and establish global dominance, according to a recent report.The question is whose dominance.This is obviously its' makers and...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Mwenye mchoro wa pre amp single supply an high pass na low pass anisaidie Pia wa tone cotrol single supply mchoro unaotumia jrc4558
0 Reactions
1 Replies
239 Views
Naombeni msaada.....nasoma chuo X hapa tz , Ni finalist na nnatakiwa kufanya final year project ili niwe awarded degree ya computer science.... Changamoto ipo hivi , tulipebdekeza project title...
1 Reactions
50 Replies
4K Views
Habari za mchana huu. Najua humu kuna wataalamu wengi, naomba anayeweza kunisaidia kuirudisha hii email yangu tafadhali. Niliitumia miaka ya nyuma kidogo na nimejaribu kufuata zile procedure...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Habari wana JamiiForums, Leo asubuhi niliripoti kukatwa na GOOGLE PLAY kimakosa kutokana na app moja ambayo ilikuwa ina run kwenye android yangu ambayo siku ya jana ilifanya malipo automatically...
3 Reactions
5 Replies
771 Views
Samahani wataalam ninaomba msaada namna ya kupakuwa movie kwa Telegram channel kwani inaoneka inashuka na mb zinakatika ila ikifika mwisho hakuna kitu na hii ni kwa format ya mkv ila kwa mp4 haina...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mwanzo nilikuwa hata kama sina bando nikiwa na line ya halotel naweza kuingia baadhi ya sites kama JF buree kabisa...lakini saiv inakataaa. Nimejarib kubadili line ya mtandao mwingine nako ni...
4 Reactions
14 Replies
891 Views
Habari wakuu, poleni na majukumu ya kila siku.Mungu aendelee kutupigania katika harakati zetu ili tuweze kufanikiwa. Twende kwenye jambo lenyewe sasa. Wakuu mimi nina kiasi cha hiyo hela nataka...
5 Reactions
103 Replies
12K Views
Back
Top Bottom