Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wadau. Napenda kuwafahamisha wale ambao wanatumia iOS kuwa kuna application inaitwa: "App of the Day" uki - install huwa inakupa taarifa za paid apps ambazo ni free kwa siku hiyo...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Hi wanajf. natumia tune in kuplay redio ila tunein haiwezi kuplay RFA,na clouds fm ktk cmu yangu.msaada wadau tafadhali.natumia huawei y210
0 Reactions
1 Replies
796 Views
Naitaji king'amuzi cha DSTV au chochote nachoweza kupata channels zote za mpira, kama s1 to s10. mwenye nacho taja bei au twende PM
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hi! Naombeni kujuzwa ni PIN zipi niingize wakati wa kufanya configuration ya voda internet kwenye simu yangu! Ahsante!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nokia 701 na xperia s ipi kiboko wakuu?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimenunua modern bt nikiichomeka kwny computer inaonyesha imekuwa connected ila nashangaa nikifunguu internet haifunguki ipo offline,nmejaribu sn kuweka kwny computer tofauti mambo ni yale yale...
0 Reactions
0 Replies
534 Views
Lumia yangu ina nishinda kwani ni zito sana kwa upande waku dauloding aplictation yeyote napia hata nikiwa na browes inakua sio fasta laini nayotumia nitigo hata nikibadili ni hivyo hivyo...
0 Reactions
5 Replies
915 Views
wanasafafu tafadhali nataka kununua simu gan ni bora zaid kati sumsung galaxy s4 na LG 4G LTE?
0 Reactions
12 Replies
4K Views
By C++: Eti viongozi . Vodacom cheka bombastik *149*01# . Dakika 40 SmS 250 na 100MB . Kwa tsh 500 . Alafu Airtel *149*99# . Dakika 40, SmS 1000, na 300MB . Kwa tsh 999 . Sasa nani...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Natumia nokia 6120c. Phone memory imejaa kiasi kwamba hata sms kuingia ni shida. Msaada wadau. Mwanzo phone memory ilikuwa MB 15. Lakini sa hv ina KB 45. Na sijui tatizo ni nini?
0 Reactions
6 Replies
686 Views
Habarini wakuu, wadau msaada tafadhali! nimejaribu kudownload linux version tofauti tofauti lakini tatizo langu lipo kwenye ku-install. kila nikijaribu inaniletea error flani hadi nashindwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeweka kwenye pc yangu windows 8.1 na kumaliza kila kitu mpaka kufungua microsoft a/c nika update drivers sa ikaitajika kurestat mashe kuwaka inadai ni sign in na microsoft a/c lakini nikiweka...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninayo clone nashindwa kukonect kwenye net pls mwenye kujua,anielekeze.
0 Reactions
4 Replies
692 Views
Naombeni link au key za kuactivate window 7
0 Reactions
3 Replies
779 Views
Kwana nitoe shukran kwa wote watakaochangia katika uzi huu... mm natumia samsung galaxy tab (GT P1000) Na ina OS ya Android 2.2 froyo... swali langu ni kwamba kuna vitu navikosa kwa kutumia vision...
0 Reactions
2 Replies
743 Views
wakuu naombeni msaada.. nimetoka katikati ya mji juzi baada ya nyumba yetu ya iliyo nje kidogo ya mji kuisha..sasa dah ninapata shida ambayo sijawi kuipata ninapotaka ku surf mambo yangu kwenye...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wa kitaalamu Kwani nataka anzisha biashara ndogo maeneo ya vijijini kwa kutumia mfumo wa umeme jua (Solar). Ndani ya business premise moja nitataka kuwa na uwezo wa kuchaji simu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni simu ambayo imetengenezwa kimuundo wa saa.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
wadau naomba msaada nimedownload na imemaliza ku install whatsApp kwenye nokia n97 ila inakataa kufunguka ni click shortcut inalod kidogo inapotea
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Back
Top Bottom