Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
PILLOW POWER: Zinakuwa na Battery2 za lithium polymer, Moja inawekwa ndani ya mto na nyengine inakuwa kwa nje. Kama battery ikifa inaweza kubadilishwa hivyo utaendelea kutumia mto wako. Pia...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Windows 8 haitaki kabisa ku-instal modem. Sababu ni kwamba device manager inaonesha kuwa hakuna drivers za hizo modem moja ya voda na ingine airtel. Zote zinakataliwa. Ntazipata wapi hizo drivers...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Sina hakika kama hili lilishawasilishwa hapa. Katika siku za hivi karibuni nilivutiwa na matangazo ya televisheni yaliyodhaminiwana TANESCO juu ya matumizi bora ya nishati ya umeme kwa kutumia...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
DAP (Download accelerator plus) This is the first download accelerator I used. You can use this software as many days as you want without purchasing a license but it comes with ads( They are not...
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Curved LG G Flex Smartphone Available to Pre-Order for £690 The curved LG G Flex smartphone is now available to pre-order in the UK, with an eye-watering price tag of £690 without a contract...
1 Reactions
5 Replies
783 Views
Laptop yangu hp ina ram 4 gb ila baada ya kupiga window na kuChange partition naona (929 MB) usable kabla cjapiga window ilkua (3.99 GB) usable.naomba kujua tatizo.natanguliza shukran
0 Reactions
1 Replies
698 Views
Habari wana Tech, nilikuwa naomba msaada jinsi ya kujiunga na eBay na kuweza kupata huduma kupitia eBay kwa kuweza kununua bidhaa toka hawa jamaa je inabidi niwe na sifa zipi au vitu gani mfano...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
wakuu naomben msaada wa namna naweza kuset apn kwenye nokia lumia 820....
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu Azam Media wametoa chaneli ambazo zitakuwa kwenye kin'gamuzi chao. kwa mtazamo wangu wameshindwa kukidhi matakwa yangu kwani nilifikiri watakuja kivingine lakini chaneli zao ni zile kama za...
0 Reactions
89 Replies
12K Views
Wakuu nilikuwa naomba mwenye maujanja ya kudownload vitu kwa torrents kwenye Wireless iliyokuwa restricted na torrents
0 Reactions
0 Replies
681 Views
naitaji sana kujua teknolojia hi.kwa yeyote mwenye uzoefu naitaji anisaidie coz nimesoma vitabu vingi bado practical tu ili nifanikishe lengo langu..kwa yeyote anaye jua au mtu anamjua anaye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Niliweka pswd nikawa nimezisahau sasa katika kuingiza mara nyingi ndo nikaharibu kabisa ikawa inataka niingize email yangu ya gmail sasa tatizo nilikuwa nimefunga connection za net so email...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu ni samsung s4 ila tangu juzi imeniweka offline-siwez piga simu-kozi inakata,na nikipigiwa naonekana sipatikaniki hewan-though kwenye simu bar za network zipo full- kama kuna mwenye clue what...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
najaribu kuweka 3g kwenye sim yangu lkn na shindwa naombeni mnisaidie na hili tatizo.
0 Reactions
1 Replies
899 Views
hellow guys,,
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Wana jamvi, naomba kujua jinsi ya kufanya ili niweze kuona youtube video, natumia wifi network ya kampuni lakini hamebana kuona youtube na kudownload. Tafadhari saidieni wataalamu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, Natafuta spare za Jeep cherokee Year-1997 Model-E-7MX Chassis no-1J4FN.......... Engine no-MX60...... Natafuta steering power,shock absorbers,side mirror(right h.s) na radiator...
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Jamani naombeni msaada kuna PC yangu aina ya Toshiba iliharibika nikapeleka kwa fundi akaniambia moto ulikuwa mkubwa PC ikaungua. Kumwachia anitengenezee akaweka Motherboard mafuta. Nimeipeleka...
0 Reactions
8 Replies
871 Views
Naombeni kujua kama imeanza kufanya kazi tena au kama kuna alternative. Pia naombeni kujua kama kuna njia mbadala kwa simu za android
0 Reactions
3 Replies
871 Views
Back
Top Bottom