Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
msaada pc ambayo ina word 2007 lakini haichapa maneno kwani word inafunguka lakini haichapi nisaidieni
0 Reactions
0 Replies
705 Views
wadau tuzicheki gharama za mtandao mpya wa GSM wa Benson Online BOL. Jamaa wanaingia kwenye market ili kupambana na tigo, vodacom, zantel, airtel,ttcl mobile na sasatel. (ambao baadhi ya hawa...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Naombeni mnisaidie wakuu! Mfano nimetengeneza website yangu na address yake ni maybe ni www.tangopori.com sasa nataka na email address yangu iwe labda 12345@tangopori.com how do I do this? NB...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari zenu wanajf anaejua unlocking code zw huawei y200 zile za tigo za zamani
0 Reactions
1 Replies
558 Views
Nnatumia huawei y300 kutoka tgo ninaomba msaada nweze kuunlock cmu yng nakutumia mitandao mingine ya cmu msaada wenu ni muhim sana kwangu
0 Reactions
3 Replies
783 Views
Habari za mapumziko ya w/end wanajamvi? Laptop yangu ilikuwa na OS mbili ambazo Windows 7 na Ubuntu 12.10 Wakati wa kuinstall Ubuntu nilitumia WUBI. Mwanzoni ilipiga kazi vizuri lakini ikafikia...
0 Reactions
9 Replies
952 Views
Mwenye Activator kwa ajili ya Office 365 naomba anipatie.
-2 Reactions
0 Replies
2K Views
guys naomba mnisaidie softwares ambazo ni za kuhack wireless networks...na account nyingine.na mahali ambapo naweza kuzipata for free download
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta watu ambao wako interested na mambo ya technology katka field mbalimbali ambao wangependa kushirikiana na wenzao kujadili mambo mbalimbali kupitia magroup mitandao ya kijamii na kuweza...
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Ninatumia huawei y300 nmeiroot cmu yangu naomba msaada wa namna ya kutumia droid vpn kupata free internet na mitandao ya kbongo msaada wenu ni muhimu sana kwangu
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Habari wanajanvi!! Ndugu zangu mimi ni mmoja kati ya wale wanao miliki simu aina ya Tecno P3, lakini leo nimeexperience the difference pale nilipokuwa na install baadhi ya applications naambiwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mwezi mzima nimekuwa nafuatilia CRDB kwa aajili ya kuactivate card yangu kwa ajili ya kuactivate online transactions bila mafanikio. Naishia kupewa majibu yasiyoridhisha toka makao makuu...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
For those BB users i have special line for free internet service BIS special for blackberry..there is no even a cent in it and it work fine..for all apps..including...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
habari wana jf, naomba msaada wenu, simu yangu speed ya kufungua internet na kudaownload imepungua tofauti na mwanzo,, mara nyingi huwa inaniandikia "internet storage is almost full" kwa yeyote...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natumia Techno P5 inaniambia kuna virusi nami ninahitaji kuondoa nifanyeje? afu inaasema android iko slow naomba msaada kwa anayeweza nisaidia kuinusuru P5 yaaaaani!
0 Reactions
19 Replies
2K Views
App yangu ya J Forum inaforce close baada ya matumia kwa muda, kwa yeyote anayefahamu. Ninatumia android 2.2.2, cm ya ZTE
1 Reactions
5 Replies
1K Views
The most important thing is that, once hidden with this method, the files/folders cannot be viewed by anysearch options even if you click Show All Hidden Files and Folders Hiding the most...
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Habari wadau, Nikiwasha tv yangu inapiga kelele kali kama za cheche wa moto,hii inasababishwa na nini? Asante kwa kunijuza.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ndugu wana JF,please naomba msaada wa product key za window Xp 2002 park 2.zangu nmepoteza jaman please nsaidieni.natanguliza shukrani.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Nmetumiwa simu ya htc one toka UK but camera ili poor sana inatoa rangi ya pink na pulple naomba kwenye kujua solution ya hili tatizo anijuze.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom