Jamani habari zenu?
Mi ni mzima kwa kweli, sasa mi nina samsusang galaxy s1 model s gti900 nimempa mtaalamu mmoja ani upgradie sasa ikatokea ikazima na imeshindwa kufanya connections na computer...
How can you send message on facebook
to anyone if you r
Blocked
1» go to ur mail acc.
2» Compos new mail
3» Entrer "username@facebook.com"
( which id u want to send on facebook)
4» send it
kuna laptops zinauzwa kariakoo kwenye duka fulani la wasomali, ni ya HP processer yake ni 2.8ghz, ram ni 2gb, hard disk ni 250gb na ni duo core
wanadai ukaaji wa chaji ni wa masaa 2 na warranty...
habari wakuu....leo nimeona nianzishe kauzi kanachoelezea jinsi ya kutumia blackberry kama modem kwenye kompyuta kwani utakuta mtu ana smartphone lakini bado akitaka internet ananunua modem ya 50...
Habari za jumapili wana jf, Nakaa mabibo makuburi na umeme ulikatika Jana saa 4 asubuhi mpaka muda huu saa 11 alfajiri ya leo bado haujarudi. NAOMBA MNISAIDIE NI SEHEMU KUBWA YA JIJI LA DSM AU...
Nahitaji application nzuri ya kufanyia kazi kama zinazofanywa na powerpoint katika ipad. Naomba anayejua anifahamishe za free au za kununua katika app store.
Asante
Wakuu za asubuhi!, Mimi leo nimefanikiwa Ku Jailbreak Ipad yangu yenye iOS 7.0.4, nikaona bora niwajuze nyinyi pia jinsi ya kufanikisha,:
Kwanza kabisa kuwa safe make sure una itunes(latest)...
Wakuu simu yangu (Google Ideos) imeji lock baada ya Bwana mdogo kuingiza wrong unlock patterns zaidi ya mara tano, Inanitaka niingize E mail na Password ili kui unlock, lakini tatizo ni kuwa...
Nahitaji application nzuri ya kufanyia kazi kama zinazofanywa na powerpoint. Naomba anayejua anifahamishe za free au za kununua katika app store.
Asante
ni mda umefika sasa jf tech tuanze kuchangia mada za. jinsi ya kuhack. mda wa. kujifunza kudownload na kuplay movies umeisha its time to move on, nkiona kuna wito wa watu ntaangusha site 3 hapa tz...
Heshima kwenu wakuu,mwanzoni nilikuwa natumi IDM Kudanlod videos na audio katika laptop yangu ila kwa sasa inagoma na wanataka niinunue/niilipie kwa kuwa muda walionipa wa siku 30 for free...
Wadau naombeni mnisaidie nawezaje kumuunganishia jirani yng Dstv toka kwangu nayeye awe na uwezo wa kubadirisha channel mwenyewe? Je kuna kifaa cha ziada kinahitajika ili awe na uwezo wa kubari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.