Yaani leo hii tv lazima ipone bila kumwita fundi!
Wadau nimerudi tena nikiwasha tv yangu huwa inachukua muda mrefu kuscan,inaweza chukua dk tano.Na kwa mfano umeme ukikatika afu ukarudi...
Habari zenu wana jamii.. i hope weekend imeanza vyema? Nilikuwa na maswali kadhaa juu la hilo jambo na wenye uelewa au
walioshafanya hii kitu.. nilikuwa najua nahaitaji kufanya nini na inacost...
Nina mpango wa kununua moderm ila mpaka sasa nashindwa ninunue ipi yenye speed na bora zaidi..
Nimefikiria ninunue Universal Moderm ambayo haiitaji kucrack
au ninunue ya airtel au vodacom ndio...
habari zenu wandugu, kuna laptop (macbook pro 15'') ambayo ni first generation na ina run os x 10.4.11, ambayo huwezi kuupgrade tena hadi u purchase 10.5. naomba mnisaidie kama naweza pata mtu...
Wana jf naomba msaada wenu,nnahitaji kununua Laptop yenye uwezo mkubwa kwa ajili ya ku edit video na movie,je ni laptop yenye uwezo upi nitafute? Binafsi napenda sana bidhaa za Samsung.Natanguliza...
site nyingi kama moja wapo hii inafaa kuwafanya marafiki zalo watoe macho hadi basi The Home of CricketArchive then jaibu kuingiza html code kama hii kwenye search...
Simu yangu ipo busy wakati wote, hata kama siongei na mtu. Nipigiwa mpigaji anajibiwa mwenye cm yupo busy. Kuna maujanja yakuondo hili tatizo?
Msaada tafadhali.
NOTE: Kila sim card nayoweka...
Norton Mobile Security Lite protects your mobile device against loss, theft and malware. Norton lends its anti-malware, anti virus, and security expertise to mobile. Your life and your important...
Nime-update iphone 4s to iOs 7.0.4. Kisha nimejailbreak!
Nimejaribu kurudisha baadhi ya apps na Tweaks lakini hazifanyi kazi! ILost finder imeingia but hairespond! IFile nk vilevile! Muhimu kwangu...
Naomba kujua, kwa nini ki-download application ambazo, kwa mujibu wa maelezo ni kwa ajili ya simu fulani kwa mfano Nokia E61i au S06v3, zinagoma ku-install au naambiwa "not compactible". Naomba...
Habari wadau!
Nauliza kwa anayejua ni king'amuzi gani kina channels ambazo zinaonyesha UEFA champions league na kinafanya kazi kwa huku mkoani Geita. (Exclude Dstv and star times)
simu yangu s4 galaxy ukichange kuweka mtandao wa 3g haitaki,inakubali GSM tu..nimejaribu kuiset mpaka nimechoka lakini wapi.Msaada kwa anaeweza kunisaidia
nimeamka kwenye sharing mode today, so kwa wale ambao wanataka kujifunza C++ lakini kupata materials inawasumbua, Tumieni hicho kitabu nilicho attach, ni kizur mno, and takes a very short time...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.