kwenye king'amuz cha startimes kuna kituo kipya ch televishen kinaitwa TV 1 chanel 103 hiki kituo ni cha hapa bongo ama nje ya nchi na mmiliki wa hiki kituo
Kwanza Heshima kwenu wana Jamvi.
Kuna Tatizo la muda mrefu kwenye sim yangu na bado sijalipatia ufumbuzi
Nimekuwa kila nikitumiwa msg huwa inaweza kuingia zaidi ya hata mara tano
ikiwa ni ileile...
Watu sijui wanahic mi ni spy.nisha wapm watu zaidi ya wa 3 kwa ajili ya kupata huduma ya guru internet lakini hakuna hata mmoja aliye hata kujibu.naomba mwenye kuweza kunisaidia pleas anipm au...
Habari wakuu Kheri ya mwaka mpya.
Nina computer yangu Hp Compaq (hp D330 ut) hii ndio kila kitu kwangu nikiaanisha ndio naitegemea kufanyia kazi zangu.
mwezi ulio kipa ilianza tatizo lakuzima...
habar zenu wakuu nilkiua nahitaji kujua hiz aina za spreding virus zinavyo oparate na how to avoid them
..trojan horse
..worm
..spyware
..Rogue security software
:majani7:
Kickstarter is the world's largest crowdfunding platform.[2] The companys stated mission is to help bring creative projects to life.[3] Since its launch, more than 5 million people have funded...
Wanajamvi napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wana JF kwani imeniwezesha kujua namna na kufanikiwa kufanya manunuzi kwa njia ya mtandao,baada ya kujifunza kwa takribani siku kadhaa niliamua...
Cm yangu inamiez 3 nikiitouch inavibrate na kuleta application nyingi nyingi baadae inaandika recent' wakati mwingine touch inagoma kabisa! Nikiwa naandika msg inarudia rudia maneno msaada...
Nina simu tajwa hapo juu. Nataka kuiformat ila aliyekuwa anaitumia aliweka password zake na mimi sizifahamu. Nikitaka kuiformat inataka niweke codes. Nisaidieni ni jinsi gani nitaweza ku format...
Wanajamvi, niliireset simu yangu android v 2.2.1 na kupoteza data nyingi contacts zikiwemo.
kwa bahati nzuri nilikuwa na back-up file kwenye format ya BAK na SPB lakini nimeshinda kurestore...
Hi everybody,
Connect your distant premises, Have your bussines / resident places linked to one another. Share your electronic / digital data to distant places. All these get enhanced using point...
sim yangu ni samsung S3 mini,,,ukiiwasha inawaka kawaida ikitaka i-display inagoma thn inaandika punic-upload mode,,inaishia apo,,,mejarib kwenda kwa mafund softwares wameshindwa,,,so km kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.