Nilinunua TV aina ya LG (LED) 47 Inch tokea mwaka February, 2012. Nimeitumia vizuri tu lakini ilipofika March 2013 ikaanza ugonjwa ambao mpaka leo unaendelea.Ukiiiwasha na kutumika kwa muda kama...
Salaam wana -JF;
Naomba msaada wenu wa ku-restore channels.
Kwa bahati mbaya nimebonyeza "OK" kwenye factory default ktk tv na nikajikuta napoteza channels zote. Natumia receiver ya mediacom...
Wadau heri ya mwaka mpya
Tangu jana PC yangu kila nikiiwasha inaniletea icon ya kuonyesha kuna error hii QtNetwork4.dll licha ya kwamba nikiicancel pc inaendelea kufanya kazi vizuri tu.. sasa...
heshima yenu wakuu,mimi natumia simu ya tecno t551,sasa tatizo ni kwamba nimetumia MMS na rafiki yangu nimeshindwa kuifungua.vodacom wemenipa hi https//mymms.vodacom.co.tz.
nimejaribu kuifungua...
Kuna mzigo nataka kuagiza nimesajili kila kitu lakini inakataa kulipia inanipa Majibu haya
Payment typesShows credit card type you entered
Invalid debit or credit card type. Visa MasterCard...
Nnatumia laptop aina ya hp windows 8 toka niinunue haijawahi kuwa na shida yoyote ile. N i hivi juzi imeanza tatizo la kuhitaji ku-restart kila baada ya muda mfupi ili ikamilishe updates, na...
wakuu nawatakia heri ya mwaka mpya.
mm nimekaa na kufikiri hivi hakuna namana ya kufanya au hakuna program au softwere ya kuzuia au kukomesha wizi wa sim hapa bongo? hasa hata kwa hizi zenye...
Jamani wadau nimeskia unaweza kufanya maujanja ya kuchakachua king'amuzi cha startimes na ukapata machanel yote bila kulipia jamani anayejua anijuze basi.
Have you ever wondered why your phone performs smooth during the first few months of purchase but begins to act funny later? Well if you havent this article will enlighten you more.
Why Your...
Computer ni za chuo zinatumia windows xp sasa ishu inakuja kwamba mtu anaeingiza anaificha keyboad ili tusiifahamu sasa nlikua nauliza kama kuna njia ya kuijua password tukiwa logged in
Nimetumiwa ujumbe huu na mtumiaji mwenzangu wa Whatsapp. Je ni wa ukweli au magumashi?
Hello, I. Am DAVID D. SURETECH founder of Whatsapp. this message is to inform all of our users that we...
Ni sehemu gani kwa dar es salaam wanapo uza Stickers mbalimbali ambazo tunaweza kubandika kwenye laptop ambazo zina represent vitu mbalimbali? kwa mfano programming languages au hata kampuni??
hello wana JF,
nilikua naombeni msaada ya jinsi gan kukonfiga bb 8520 ili niweze kutumia huduma ya inernet for free,hope kuna jinsi ya kufanya hivyo hasa kwa instant messaging applications.
thenx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.