Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nimepoteza simu kwenye gari ni blackberry 9900 naombeni msaada nifanye nini ili kuipata simu yangu
0 Reactions
1 Replies
733 Views
tafadhali wanaJF Naomben mnisaidie account yangu ya facebook inagoma Kufunguka wananiambia niingize comfimation code! plz anayeweza anisaidie!
0 Reactions
0 Replies
770 Views
leo pita pita yangu internet nikaona opera wametoa browser mpya na hii browser inatumia engine ya webkit sawa na engine ya google chrome, nikaona ngoja niijaribu yani nikawa very suprised. browser...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau nina tablet mpya ya Samsung galaxy tab 3...tatizo limekuja kwenye kutumia play store, toka juzi naambiwa there is problem in connecting google server... Nimejaribu account ya zaman na hata...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
On the whole Internet, there are approximately more than 150 million active websites up and running. As a result, it often becomes a real challenge for the users to identify safe websites that are...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wapendwa siku tatu zilizopita nili download game ya fifa 2014 yenye ukubwa wa GB 6.65. Game hii inanitaka niweke activation key ili niweze kulitumia. Nilifanya jitihada ya kutafuta keys...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
jaman naomben msaada wenu wa haraka,nimesahau password kwenye pc yangu,naomba wataalam wa it na computer mnielekeze n jins gan naweza kuingia au kukrak password wakuu.
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Naomben msaada juu ya activation code ya theft tracking software (mGuard) kwenye tecno T611 Maana website walioitoa kwaajili ya activation ( deximobile.com) haipo active. Au kama kuna maujanja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jaman naombeni msaada external yangu samsung imeanguka na saiv haisomi nifanyaje?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Niko kwenye daladala naelekea posta, mimi nimekaa ila kuna dada pembeni yangu huku akiwa amebeba begi wengine huita kipimajoto basi begi la huyu dada kalitundika begani ila kitako cha begi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hallo wakuu? Nimepokea hii message about whatsapp.kuna ukweli wowote? ✅ Hello, I. Am DAVID D. SURETECH founder of Whatsapp. this message is to inform all of our users that we have only...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wadau.. naombeni kufahamishwa juu ya teknolojia inayotumika kuzuia radi... yani kiujumla, inafanya fanya vipi kazi mpaka inazuia radi? -je, kwanini radi inahusishwa na makundi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wanajukwaa kwa kumbukumbu zangu Mara ya mwisho ippmedia walikuwa wanapatikana channel zao za itv eatv Ndani ya king'amuzi cha EasyTv tuu kwa Tanzania, ila tangu 2014 January channel zao hazipo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nimepeleka Laptop yangu compaq 515 kwa fundi ili isafishwe feni، lkn baada ya kusafishwa ilipo fungwa ikakataa kuwaka. kwa maelezo ya fundi akiifungua akijaribu kuiwasha inawaka lkn...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Habari. Kuna rumors nimesoma kwamba iPhone 6, ambayo inatarajiwa kutoka mwaka huu quarter ya 3, itakua na screen size tofauti tofauti. Sio kama tulivozoea kwamba, kila baada ya miaka miwili, Apple...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Yoyote anayejua jinsi ya kuunganisha samsung galaxy tab 2 7.0 3g katika vifurushi vya tigo internet
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jamani nahitaji msaada kurestore factory setting ya simu itel IT 1350 kuna mtu amejaribu patterns mara nyingi simu umejilock ikiwaka inauliza email lakini ukiweka haikubali sababu mtandao unakuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau kutokana ugumu wa maisha nimeamua kununua kigari kidogo ili kupunguza ghalama za mafuta hapa mjini, ila napata taabu sana kupita sehemu zilizowekwa matuta, nilikuwa nimefikiria kwenda Gereji...
1 Reactions
66 Replies
25K Views
Habari wadau, Endapo kuna mtu aliyewahi kutumia Bol mobile Dar, tafadhali nipe mwanga kuhusu speed ya Internet ya hawa jamaa, maana naona bei zao ni rahisi ila ndo bado wapya.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu akaunti yangu ya facebook imefungiwa ni mwaka sasa sijaweza kuingia,. Mara ya mwisho kuingia waliniambia kwamba nimesahau password wakasema wataituma kupitia namba yangu ya simu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom