Wakuu tv yangu aina ya bush flat screen ina king'amuzi(DVB)kimejengewa ndani yake,niki search channel zote znazo rushwa na startimes znakuwa detected lakn hazioneshi!je kuna uwezekano wa kufanya...
Heshima kwenu wanaJF!!!....nina Galaxy Note2,asubuhi ya leo nlikuwa nikibrowse profiles za watu mbali mbali kwenye wikipedia kwa kutumia browser ya wikipedia ambapo ghafla simu yangu ilizima...
The year is almost over and i must say that this year was one of the most competitive years in the smartphone era. This year , we've seen favourite brands like nokia and black blackberry lose...
wadau mnisaidie,Nikiinstall Cool Edit inakubali ila kuirun ndio inagoma na inanipa ujumbe huu "The system has not been configured correctly to run cool Edit.Please run setup again" ila nikiinstal...
Wakuu heshima kwenu..
Naomba maelekezo ya kuunlock moderm ya huawei e173...au jinsi ya kutumia nokia pc suite ili ni access internet bila ku unlock..
Nawasilsha kwenu wakuu..
Watu sijui wanahic mi ni spy.nisha wapm watu zaidi ya wa 3 kwa ajili ya kupata huduma ya guru internet lakini hakuna hata mmoja aliye hata kujibu.naomba mwenye kuweza kunisaidia pleas anipm au...
Ni rahisi kuficha na kufichua mafiles yako kwenye PC bila kutumia software ya aina yoyote. Tutatumia Command Prompt, Mfano una folder liko drive D lina videos ambazo hutaki mtu mwingine azione...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.