Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Fundi simu anahitajika simu ni HTC imegoma kuwaka. Nipo DAR
0 Reactions
0 Replies
706 Views
habari za asubuhi wadau wa jf. ni matumaini yangu mu wazima wa afya na nina furaha kufahamu hilo. ningependa kujuzwa nanma ya kufungua loptop ambayo imefungwa ishindwe kuingia kwenye mitandao...
0 Reactions
3 Replies
977 Views
Nimemnunulia jirani yangu kisimbuzi cha startimes leo ila baada ya kuwapo na taarifa kuwa kuna madish yanakuja tukafikira kuachana na mpango wa kununua anterna kwa kupunguza gharama ,nimekuwa na...
0 Reactions
3 Replies
805 Views
Hello! I am planing to install MS exchange server 2013 in my office and then enable it to pull all company emails from our web host (web mail server). for 2003 and 2007 there were built-in POP...
0 Reactions
0 Replies
591 Views
Heshima kwenu wadau, Kuna mtu namdai tangu 2010 kiasi cha zaidi sh. Laki 1,cha ajabu ni kwamba kila nimpigiapo simu naambiwa sina salio la kutosha kupiga simu wakati huo nina salio zaidi ya sh.500...
0 Reactions
3 Replies
813 Views
Heshima kwenu wadau wa jamvi hili, naomba mwenye ujuzi na visual basic6.0 anisaidie namna ya kuregister object library maana kila nikiselect inaniambia "object library not registered in registry"...
0 Reactions
3 Replies
733 Views
Hi pple Yaani mm tokea asubuhi siwezi tuma message wala kupokea message japo 3G na calls nakula kama kawa Nimejaribu google nikakutana watu wana similar problem lkn soln walizopewa niku-set...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
tv zec iko black and white aje kubadili rangi inaniwia vigumu sana IT ndogo
0 Reactions
0 Replies
702 Views
naomba kwa yeyote ambae amewahi kundika au kuipata project charter ya project yeyote naomba anitumie kwenye e-mail yng daiabdalla@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
442 Views
Eti viongozi . Vodacom cheka bombastik *149*01# . Dakika 40 SmS 250 na 100MB . Kwa tsh 500 . Alafu Airtel *149*99# . Dakika 40, SmS 1000, na 300MB . Kwa tsh 999 . Sasa nani BaBa...
0 Reactions
86 Replies
12K Views
Natafuta spare parts za magari yafuatayo
0 Reactions
2 Replies
790 Views
0 Reactions
0 Replies
604 Views
habari zenu wakuu.. naomba mnisaidie jinsi gani naweza kukata laini yangu ili iwe MICRO SIM from MIN-SIM..
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Zipo nyingi kariakoo na kwenye maduka ya hizi za Apple . wanauza 150,000 -250,000 fedha za kibongo. kuna mdau aliyekwisha zitumia. kama vipi tununue maana vidole kwa simu ni noma jamani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
msaada pc ambayo ina word 2007 lakini haichapa maneno kwani word inafunguka lakini haichapi nisaidieni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wataalamu natumia m3 techno haitak kusoma picha ukifungua gallery inakwambia not installed on phone nimejarbu kila njia nimeshndwa Masada wenu nauhitaj plz
0 Reactions
3 Replies
818 Views
Natumaini ni wazima wa afya. Ninahitaji FIFA 2013 naomba mwenye link aniwekee hapa coz ninahitaji sana.
0 Reactions
2 Replies
727 Views
Wakuu naomben msaada wa kuinstall whatsapp kwenye x2-02 so natanguliza shukran kwenu...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hi....wanajamii napenda kufaham kama kuna uwezekano wa ku safisha picha za android...ambazo ziko kwenye simu yang...na pia inaweza kucost shillng ngap apa Tanzania....asanten
1 Reactions
16 Replies
2K Views
jamani wanajamvi nahitaji kujua namna ya kuweka image ya os kwenye flash na iwe bootable...kwa anyejua msaada plz
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom