Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Heshima zenu wakuu. Naomba kufahamishwa na wataalamu wenye kufahamu ubora wa Tecno smartphones. Ni ipi nzuri kwa maana ya specifications na durability isiyozidi 250,000 tshs. Nawasilisha Wakuu.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nafahamu kuna uwezekano wa kutumia computer kama tv kwa kutumia tv box, tuner etc! sasa wana JF Naomba msaada kwa anayejua jinsi ya kuibadili flat screen monitor kuwa TV kwa kutumia VGA cable au...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
nahitaji unlocked modem kwa 30000tsh only,kwa anayeuza anipm
0 Reactions
3 Replies
812 Views
Heshima zenu wakuu. Jamani nina pc yangu ilikuwa ikirun windows xp2 nikajaribu kubadilisha na kuweka win7 ultimate. Ilipomaliza kila kitu katika installation, baada ya kufunguka nilitegemea...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
naoenda kujua subscription fee ya aljazeera sports kwa mwezi ni bei gani kama kuna yeyote anayetumia huduma yao!
0 Reactions
14 Replies
5K Views
msaada https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=129470&stc=1&d=1388415418 nkdownload inanletea hvii
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Mwenye setup ya cyberlink camera setup ya laptop anisaidie wakuu. Au link ambayo naweza kudownload free. Thanks.
0 Reactions
0 Replies
691 Views
wakuu, hii cm inanikera sana na notfctn ya phone storage space is going low. nahis zile unfinshd/unsucfl downloads ambzo nlisave kwenye intern memory zitakua zinasababisha ushenz huu!
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Wakuu Heri ya Mwaka mpya! Ninataka kununua kompyuta 10 - 20 flat screen desktop kwa ajili ya kaproject kapya (educational project) kalishokwisha anza tayari. Ninahitaji at least Ram 2GB...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari JF store natumia Huawei y 300 tatizo linakuja inapata sana moto napoiweka kwenye charge au pale napoitumia hasa betri ndo inayopata sana moto..Msaada tafadhali.
1 Reactions
25 Replies
9K Views
Kuna Domain nilitaka kuitumia ila kuna mtu ameisajiri na wala hajaweka chochote....SHHHHIIIIITTTT!!!:hail::hail: >>>>>> www.shopping.co.tz
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Naomba kwa mtu anayejua wireless earphone zinauzwa sh ngap anijulishe na jinsi ya kuziconect with nokia 305
0 Reactions
3 Replies
808 Views
Tujitahidi kuitumia Fursa hii watanzania wenzangu na wale wenye mapenzi mema na Guru AMEN!! Happy New Year Wataalamu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
http://AcutePay.com/index.php?refcode=10042
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tecno walianza kama utani ambapo watu walianza kuwaelewa walipotoa tecno n3 ....baadaye wakaja na tecno p3 amabapo mpk sasa bado ipo vizuri sokoni... ila nimeanza mimi binafsi kuwakubali kwenye...
1 Reactions
59 Replies
15K Views
Habari zenu,naomba msaada wenu hasa enyi wataalamu wa teknolojia .birth certificate yangu na leaving certificate zina lamination ,na ninataka kutoa lamination ili nifanye yangu je ,stationary...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heri ya mwaka wana jf!Hivi mimi sina network au vodacom hawana network?Naomba mnisaidie wanajf!May b tunaoanza na code 0756?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani aljazeera sports wamekua rebranded to Bein sports so shaka ondoeni!just google it for more info
0 Reactions
3 Replies
1K Views
salam wakuu, i've recently acquired a chinese droid device which runs 4.2.2 na nahitaji kuifanyia rooting. nimejaribu kuinstall framaroot but i wasnt succeful. nifanyaje wakuu? pia apps kama bbm...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
tuuuuuuuuuuuuu
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom