Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
jamani naombeni msaada tu, ni simu gani yenye uwezo mkubwa kwa sasa?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau Nina tatizo moja na sielewi jinsi ya kufanya , nahitaji kuangalia live TV kupitia cm yangu nifanyaje??
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wataalam,niliwahi kuipata amos 5 kwa dish la Eurostar 6 ft kama miezi 3 iliyopita,lakini kwa sasa kila nikiijaribu haipatikani tena,setup ya dish iko sawa maana naipata leuters news ambayo pia ipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada jinsi ya kutumia pd proxy kwenye voda maana na scan pd proxy znagoma
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Wakuu nimeletewa printer leo inatoka UK but tatizo nikiwasha inaandika "error code 5110" nifanyeje?
0 Reactions
8 Replies
864 Views
Hello all, Kuna mtu yeyote anayejua kampuni inayojishughulisha na Social Media management? Asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari wakuu.. naomba msaada jinsi ya kuroot hii simu Huawei Ascend pia niweke custom ROM. cc: C6 chief-mkwawa NingaR C++ Etc etc plz help Shukrani Sana.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Fuata link hapo chini.. https://www.dropbox.com/s/j3amc5nlynk8hmy/Head.First.HTML5..Programming.Building.Web.Apps.with.JavaScript.pdf
1 Reactions
0 Replies
1K Views
naombeni msaada wa kunielekeza jinsi ya kudonwload symbian katika simu ya nokia n97 simu yangu imekuwa slow sana
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Poleni kwa majukumu ndugu zangu wote. Napaswa kusoma nyaraka muhimu iliyo katika mfumo wa PDF, kwa kutumia simu aina ya Nokia E72. katika kufanya hivyo, nimekumbana na changamoto hii "Unsupported...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
how to unlock moderms?
0 Reactions
3 Replies
925 Views
Watumiaji wa Microsoft word 2003 na OS ya Window XP watakula ya chuya kwani support itafungwa hapo april 8,2014. pole sana wasiotaka mabadiliko. Support ends in 2014 for Windows XP and...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nahitaji universal driver kama kuna mtu anazo
0 Reactions
0 Replies
524 Views
HIVI UMEWAHI KUFIKIRIA HIKI KITU. AV =standard analog video SVIDEO=Separate video /Super Video YPbPr =High definition analog Video (analog HD video with color separation) VGA= Video graphics...
1 Reactions
0 Replies
634 Views
Wadau naomba msaada nina nokia e71 imelock memory card hivyo imeniomba password namimi sizifahamu, naomba msaada nitazipate?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Simu yangu n Blackberry! Imejilock! Msaada kwa anayejua How To Unlock! Inaniandikia niweke Password! Afu mie password nishazisahau!
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Wana JF nina shida mno ya Firmware na Dashboard ya Huawei E303 tafadhali anipe link namna ya kuipata.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hellow msaada kwa anaejua. thanx
0 Reactions
2 Replies
773 Views
Habari ndugu nzangu wa Jamiiforums. Bado ninaangaika katika harakati zangu za kujifunza programing. naomba kufahamishwa, hivi ni language gani nzuri kwa mtu anayeanza kijifunza programing from the...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
nimeletewa zawaidi kutoka American, lakini haina shemu ya sim card, nifanyeje?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom