Juzi nimenunua hii simu ya huawei y300 ila cha kushangaza kutoka tigo ila inanisumbua. Ukiongea na mtu baada ya sekunde kadhaa unakuwa hakusikii...mnanisaidiaje wakuu?
Naombeni msaada wenu wadau computer yangu haitowi sauti baada ya kubadilisha window ni flat desktop monitor imeandikwa NEC, CPU ni emachines 3230 pentium 4, 1.5 RAM ilikuja na window Xp nkaweka...
Kuna baadhi ya dvd au vcd player wengi wetu tumenunua ambazo zina uwezo wa kucheza game kwa jostick controllers , mfano kuna singsung ok sasa cha kufanya ili ucheze game hizi 300 itabidi usign in...
Katika funguafungua ya zawadi za krismas tarehe 26/12, hamad! nikaopoa kompyuta laptop!
Aina yake ni Asus na OS ni windows 8. Nikafurahia kimoyomoyo nikisema: Mambo si ndio hayo? Mimi ni kabila la...
Tangia nipo mdogo nilkua nafikiria uwezo wa hizi meter pale unaponunua token na kwenda kuingiza na zikaandka accepted ivi ni kwamba zinatumia network au? Na kama network iyo ni ipi mpka kijijin...
Habari zenu wana JF, nina room mbili ambazo nataka watu waweze kuwasiliana kwa kutumia simu za kawaida (landline) ila sina ufahamu wowote juu ya nini natakiwa kununua tofauti na extension mbili...
habari zenu.
natumia nokia N95 8gb.. Hapo mwanzo nilikuwa nadownload na kusave applications lakini sasa nikijaribu kudownload inaniandikia File corrupted... Certificate check iko sawa...
kadiri miaka inavyo ongezeka tunaona maendeleo ya teknolojia yanavozidi kukua :angry: na jinsi gani binadamu wanavyo jarbu kutengeneza vitu vyenye uwezo zaidi yao .so kwa mawazo yako kati ya...
Kuna tatizo limejitokeza hapa leo wakati nawasha Pc asubuhi ikawaka hadi Windows ikaoneka lakini ghafla monitor ikajizima. Sijajua tatizo nini maana toka mda huo haijawaka tena ila kuna ka sauti...
Hebu shuhudia namna ambavyo Boeing 767 ilivyoweza kupaa toka uwanja wa ndege wa Arusha. Japo ulikuwa mdogo bado kitu kiliweza kuinuka bila hata kumaliza runway!
GONGA HAPA ILI KUWEZA KUIONA...
Habari wanajamvi,
Nina mpango wa kununua simu tajwa hapo juu, katika pita pita zangu za kutaka kujua "user experience" za watumiaji wengine nikakutana na review ya mtandao mmoja wa wahindi (GSM...
Kwa mwenye Uelewa na Teknolojia ninayoweza tumia hapaa...
lengo ni Baadhi ya Vitu vyangu visijulikane vipo wapi kabsaa...
na kiwe kama chumba cha xperiments zangu.....
.
.
Naomba msaada wa jinsi ya kubypass winrar protected file au kama kuna programu ya kusaidia hili tatizo.
Nimedownload movie mbili kutoka Movies Torrents - Download Free Movies Torrents, lakin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.