Habari wadau,
Naomba kujua sehemu (kwa Dar) ambayo naweza ku-upgrade OS Blackberry 8520, V.5 kwenda OS ya juu zaidi (current).
Natanguliza shukrani zangu.
Are You Tech & Science enthusiast? You have infinity ambitions on Tech & Science,Right ? But how to reach to Infinity(Ooop!! no NASA'S help).Worry no More,we also work at Infinity and we give...
Wakuu habari!!
kama kuna mtu anajua namna ya kuistall Android os kwenye window phone kama Lumia anipe steps.
Najua ni platform tofauti lakini nahisi uwezekano upo.
tafadhari siyo wallpaper au...
sijawai tumia iPhone toka ziwepo, kuna mzungu ambaye ni rafiki yangu..... kaja Bongo na used i4s. Kaniachia nitumie ila kuna settings na some stuffs zake kwenye simu, naomba mnisaidie jinsi ya...
Habari
Jamani nahitaji Caustic soda kwa ajili ya utengenezaji wa sabuni. Inauzwa sh ngapi kwa wajasiriamali wenzangu mnaofahamu, na inauzwa wapi hapa Dar?
Natumia galaxy pocket duos. Inasumbua kufungua kitu..kama ni kufungua kitu inaload kwa mda hata kama ni kufungua sehem ya keypad ,inarespond polepole sana. Naomben msaada wenu wakubwa..??
Nahitaji kutengenezewa website inayoweza kuruhusu muingiliano Na website nyingine pia muingiliano Na bank mfano visa Na MasterCard mwenye uwezo huo Na mwenye bei nzuri ni pm
online store website for sale,inaitwa http://bongostore.blogspot.com/
bongostore.blogspot.com,il a unaweza kuredirect this
sub domain to your purchased domain name,website
ina features...
simu yangu samsung b920 ni android tatizo lake inajijaza internal memory yenyewe unaweza ukaicha free mb 16 lkn baada ya siku 2 inakuambia memory getting low futa baadhi ya vitu au simu itajizima...
HABARI wakuu.......
Wataalamu wa maswala ya computer tafadhari jaribuni kuanzisha kitu kinaitwa IT-OPEN CLASS.
Hili liwe darasa la watu wanaopenda kujifunza maswala ya IT katika nyanja za mf...
Wajameni Taarifa ya Uhakika
Msije mkapoteza simu mukadhani kuna kiinstitution kinaweza fanya Tracing Simu ikapatikana, Kwa Tanzania ni Propaganda tu na si kweli. hakuna TCRA wala Mtandao wa simu...
Kuna Application ya android/pc inaitwa "Shazam" hiyo unaifungua then unaisogeza simu/laptop karibu na speaker ya redio au computer , then baada ya sekunde chache itaonesha nani aliyeimba, jina la...
Heshima mbele,nina hiyo pc yangu hp dv6,nilijaribu kuinstall software flan ikaiharibu windows na sasa nikiwasha pc inanipa option za kuchagua volume 4 au 2,na hata nikichagua moja wapo haidisplay...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.