Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Europe launches billion-dollar Milky Way telescope By Richard INGHAM 15 hours ago 0 shares...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
naomba msaada wa flash bootable software for win8 pamoja na maelezo jinsi ya kuifanya flash iweze kutumika kwa namna iyo.
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Nilikuwa nikituma SMS kwa Gmail (comp.)kutuma kwenda kwenye sim za mkononi kwenye mitandao ya Vodacom na Tigo,wiki ya pili sasa kila nikituma sms haziwafikii au wao wakinitumia hazinifikii shida...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
jmn kuna m2 anaweza kunisaidia jinsi ya kupata hizi video card kwa ajili ya laptop yangu....nimezitafuta lakini kila duka nikienda naambiwa zmeisha au hakuna...sasa msaada if any?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watu/mtu kwa wenye IP address hizi hapa chini wamejaribu kutaka kuingia/ku-log in kwenye website yangu (fadhilipaulo.com) mara 12 na mara zote wameshindwa lakini nimedaka IP address zao, je naweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Ninahitaji kununua kitabu kutoka Amazon.com lakini sijui utaratibu wa kulipia. Ninakihitaji hicho kitabu kwa haraka sana. Tafadhalini nisaidieni.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wanajf. Mi sina utaalam sana kwenye masuala ya computer, nimepakua bittorrent na nikafanya installation ila sasa jinsi ya kuanza kutumia ndo nimeshindwa kabisa. nataka nipakue movies...
0 Reactions
2 Replies
934 Views
Naombeni kufahamu juu ya ili kuna simu inauwezo wa 2g je kuna uwezokano wa kuibadirisha iwe kwenye 3g na kama kunauwezakano naomba msaada jinsi ya kufanya hvyo.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari zena wana jf nahtaj saa ya sony kama kuna anaejua ntapata wap au hata kunisaidia kuagza nje pleas naomba antaarifu. Thanx
0 Reactions
1 Replies
730 Views
Android 4.3 update starts rolling out for Galaxy S III, again Android 4.3 update starts rolling out for Galaxy S III, again - GSMArena.com news
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Galaxy S4 and Note 3 will get Android 4.4 in late January Galaxy S4 and Note 3 will get Android 4.4 in late January - GSMArena.com news
0 Reactions
0 Replies
528 Views
habar zenu wakuu nadhani mnamkumbuka huyu bwana Steven Paul or wa eza mwita STEVE JOBS kwa mchango wake katika maendeleo ya teknolojia .ebu jaribu kushea nasi kutueleza unavyo mkumbuka steve jobs
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau naombeni mnijuze kama hii simu inaweza kuwa unlocked ili itumie mitandao yote.Anayefahamu njia ya kuiunlock naomba anisaidie
0 Reactions
1 Replies
946 Views
wAKUU je naweza ku stream au kudownload .. bure natumia modem ya tigo nilinuu kifurushi cha mwezi so bundle for downloading & streaming zimeisha ...sasa naweza kubrowse tu je naweza ku apply some...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Híi kampuni ni mteja wao wa siku nyingi toka enzi za CELTEL. Kuna tatizo ambalo linawakumba wateja wengi (ikiwemo na mimi) la kutopata menyu yao ya "airtel yatosha" . Nimejaribu kwa nguvu...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
JF imekuwa ikitangaza shindano la vodacom Appstar challenge ambalo linafikia tamati hivi leo tarehe 18/12/2013 mjini Nairobi. Ajabu sijaona press release yeyote kutangaza washindi(local winners)...
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Man cut off hand at work and searched for a surgeon for 7 hours; The surgeon attached it to his calf where there was a good blood supply;There have been about 20 such successful operations in all...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba msaada ntawezaje ku update status na mwisho ikajieleza sehemu niliko.mfao:joseph mboneko usiku mwema near kigoma tanzania
0 Reactions
2 Replies
926 Views
Nimejaribu setting ya 127.0.0.1 port 6052 lakini bado inagoma ku connect.Help pls!!!!!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii ni kwa ndugu zangu wanaobeba simu nilizozitaja hapo juu na bado wanahangaikia kupata internet kwenye laptop zao kwa modems,ethernet nk bila kujua kuwa simu zao ni VIRTUAL ROUTER Android...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom