Hope mpo poa wadau,
naombe msaada wa kupata GAMES kwa ajili ya watoto maana likizo hii wapo home so wanahitaji michezo ya Ndani muda mwingine.
Shukrani kwa wote watakao nisaidia.
Note:
Ni za...
wana jf, naomba msaada jins ya ku connect sim na internet. nina sim yang aina ya samsung GT C3212i inanisumbua kwel ku connect internet. nashindwa kuelewa shida ipo wap, na kitu kingine kuna...
MSAADA wataalam,
kwa anaefahamu jinsi ya kuweza kugundua simu zinazopigwa toka simu nyingine na msg ukawa unazipata na kwenye simu yako kama zilivyo bila ya muhusika kujua
Habari wana JF naombeni mnisaidie katika hili.Natumia Huawei y300 tatizo linakuja inapata sana moto napoiweka kwenye charge na napoitumia hasa inapata moto kwenye betri.Msaada Tafadhali nifanyaje???
Wakuu,
My Galaxy S3 had a problem with its proximity sensors. when I make a call, put the phone to my ear, but then if I want to hang up the screen is dead and won't wake up. I cannot disconnect...
kila napojaribu kuingia katika baadhi ya website kama vile facebook uwa Napata ujumbe huu
There is a problem with this websites security certificate.
The security...
Wadau, kuna mdau aliweka thread kwamba, ana software yenye uwezo ku retrieve sms and etc ktk simu nyingine either mumeo,mke wako etc, naomba contacts zake
Ninatumia simu aina ya HTC Evo 4g.
Inachonishangaza ni kwamba nikiingia net baada ya dakika tano tu, inapata moto sana huku nyuma usawa wa kamera.
Ninachoomba kufahamishwa ni kawaida kwa adroid...
Hivi karibuni nimeanza sumbuliwa na VPN yangu, yaan na connect moderm vizuri na line yangu ila ikifika kuconnect VPN yenyewe inagoma.
Nataka kufaham tu kwamba hili tatizo ni langu tu au wote...
Wadau kuna iPhone nimenunua kwa teja bei ya kutupa ila sina hakika kama orgnal au feki nilichojaribu by that time ni kutest speed ya internet nikaona iko poa ....wataalam nipen maujuz hapo.
Habari wanaJF,
Mimi nyumba yangu nilipaka rangi speacial ya paa(roof paint) ya CORAL PAINTS. Ni mwaka sasa umepita tangu nipake rangi kwenye mabati ya nyumba yangu. Sasa hivi nimefunga gutters...
Habari wakuu
Naomba msaada wa kiufund kwa wataalamu,nina simu yangu inagoma kabisa kufungua browser yake ,simu yenyewe ni blackberry 9700.
Natanguliza shukrani.
Kwa wale wapenzi wa simu zenye android. Kuna hii kitu yaitwa Invi, ni rich media texting app, iko fun na free. Mfano ninapotumiwa breaking news za Jamiiforums, basi invi inaweza ikatoa preview...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.